Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_6299.jpg

IMG_6300.jpg
 
Yaaani hakuna mchezo mnacompete world stage!!!
Nchi ya watu 65million
Hiyo ni Africa, kwenye kombe la Africa ulitaka timu za Africa zikachuane kwenye world stage ya kombe lipi, huo ni msimamo wa ligi kubwa zaidi Africa na timu za Tz zote zimepenya na nyingine imeongoza kabisa, unapaswa ujisikie fahari kwa timu za EA hazipo nyuma, japo roho inakuuma ila ukweli utabaki kwamba Tz ipo juu kwa ss kwa soka la vilabu barani Afrika hata ile huwezi kubadili hilo.
 
Ndiyo maana joto la jiwe akakuambia usijibu kwa ushabiki Boss, punguza hasira kwanza alafu chill zen tuendelee, sasa Tz inawezaje kuongoza kwa umaskini ukanda huu wakati kuna Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi mpaka Sudan. Achilia mbali hilo bado hapo hapo ni nchi mnayokuja kuomba misaada mingi tu ikiwamo chakula cha bei rahisi, mnapata matibabu na mmefika mbali mnaomba mpk reserve ya dollar, hivi wewe inakuingia akilini hiyo mkuu kwamba hiyo nchi inaweza kuwa maskini kuliko hizo nilizozitaja hapo juu? Niwie radhi mkuu kwa kuingilia kati [emoji120]
Peleka malalamishi yako World Bank
Screenshot_20230321-234710~2.png
 
Sawa tumekuskia 😆😆😆😆


Hii tweet unazungusha hapa kila siku to counterattack that WB report but it mentions 40% ya wakenya. Kila siku tunakufanyia hesabu kuonyesha 40% ya wakenya ni watu wangapi but you are too dumb to understand anything.

40% of 50 million people is 20 million. Sasa kati ya 20m na 28m gani nyingi?
 
Mchina anaakili sana ashajua baada ya miaka 27 hizo toll zitakua hazitamaniki na pesa yake itakua isharudi mara 20 🤣🤣🤣
You wish it was in Dar 😂😂😂😂
If wishes were horses...
 
Hii tweet unazungusha hapa kila siku to counterattack that WB report but it mentions 40% ya wakenya. Kila siku tunakufanyia hesabu kuonyesha 40% ya wakenya ni watu wangapi but you are too dumb to understand anything.

40% of 50 million people is 20 million. Sasa kati ya 20m na 28m gani nyingi?
Sisi tunamimani kua zimbabwe ndio poor country so wao wana afadhali 17% kuliko nyinyi kwanza hii habari unaipokeaje wewe kama wewe??🤣🤣🤣🤣

Na aliekudanganya muko 50m ni nani??kenya is over 55m na munakimbilia 60m

Ni ajabu kuskia zimbabawe ina nafuu kuliko kenya tena kwa 17% ni ajabu sana 🤣🤣🤣
 
Ahero interchange on your way to Kisumu from Kisii/Homa Bay
FB_IMG_1680511690984.jpg

Tanzania nzima huwezipata interchange kama hiyo nje ya Dar. Na hapa ndani kila siku tunaambiwa vile Tanzania inajenga miradi mikubwa 😂😂
 
Back
Top Bottom