Na watajenga kiwanda cha kujenjua madini ya Nickel ambayo ndio yanatumika katika utengenezaji wa betteries.Kiwanda kikubwa kabisa Cha batteries za magari kujengwa Tanzania.
Kenyan shilling ni takataka tuu kama takataka zingine if you import more than what you export nani atataka hiyo takataka yenu.Kenya shilling is stabilizing sasa we have made deals to de_doll arise the dollar and countries have started accepting Kenyan shillings as a means of payment, give it one year and Urania hata tanzania ikinunua bidhaa kwa Kenyan shillings. This man ruto nafikiri ni watu hawamuelewi yeye anaona bora mteseke kwa muda mfupi by removing subsidies but anaweka mikakati ambayo in the long run the economy itakua strong all they have to do now ni lie sure we have a lot to export ndo other countries see value to have the Kenya shilling.
Kumbe mfadhili wa maandamo ni Naibu Rais wao na Kuria. Weshapigwa sanctions na Marekani wao na familia zao jumla wako 4.Mm naunga mkono maandamano kwa nguvu zote ili wapungue, wapo wengi mnoooo alafu kujitafutia hawawezi mpk wapewe misaada, sasa viumbe dizaini hii watatuletea shida hapa EA kwa ongezeko la watu ambalo ni unnecessary.
70% of foodstuffs consumed in Kenya comes from Tanzania now assume Tz was not there your entire population would have been on a dearhrow.What's the importance of Tanzania to Kenya? Actually Tanzania is a burden to Kenya cause you keep on exporting beggars, drug dealers and witches to Kenya. You can't Walk a distance of 100 meters without meeting 5 beggars from Tanzania.
Ugoko mtupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kanuni za uwingi na umoja hata kwenye Kiingereza[emoji23][emoji23]
Bado wanajiona wanajua Lugha ya Kiingereza kuliko wabongo wakati kila siku humu naona mnawakosoa kwenye sarufi. [emoji846][emoji846]Ugoko mtupu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu nchii hii sijui nami kawaloga jamaa juzi wanaandamana asubuhi mapema tuu huku karau kashalewa chakari hata kudhibiti maandamano hakuweza [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuko njaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mlolongo unaanzia kwa Government flights agency unaendelea wizara ya uchukuzi mpaka wizara ya fedha.Ni hatua nzuri ulioichukua lakini bado haitoshi ni nyepesi sana nilitaman kuskia na mali zao zitaifishwe hapo ingeleta maana
Waziri mbarawa bado anafanya nn au anasubiri nn ?? Waziri wa fedha anasubiri nini?? Gavana wa BOT anasubiri nini ???
Mchanga wa dhahabu uko mwingi sana ukanda huo pia mchanga wa madini toka Burundi na Congo ni mwingi sana na wote huwa exported via Dar Port.Wala sio sababu hiyo,wewe unaona Sgr itabeba nini huko Mwanza?
Hiyo trc Kuna mwaka imewahi pata faida? Tazara inakula hasara sembuse TRC..
Mimi nilishaikataa hiyo reli siku nyingi sana ila Kwa kuwa ni mapambo na miradi ya kupigia pesa sawa pigeni ila kwenye Tija hamna kitu..
Ni sawa na wale waliposema wanajenga Bandari za Karema na Kasanga eti Ili kuondoa msongamano wa malori Tunduma,unajiliuza how? Kwa Jiografia Ipi?
Bandari zimekamilika Kwa mabilioni, congestion ndio kwanza inazidi pale Tunduma.
Mzigo utakuwa unatoka Dar na kufika mwanza in 7 hours then overnight on lake victoria to port bell.Kama mizigo kwenda uganda inatumia 4 days through south port of mwanza kwa hii reli ya kawaida je SGR ambayo itatumia only 2 days huoni ni advantage na pia itaongeza opportunities ya waganda kutumia port of dar es salaam na pia itakua ni cheap sana kwao alaf pigia mahesabu miaka 30 mbele biashara zitakuaje na population itakuaje
Mzigo utatoka Dar na kufika Uganda Port Bell in less than a day compared to 5 to 6 days Mombasa route sasa wewe kama mteja utatumia route gani.Swala hapa ni kwamba volume ya mzigo ni ndogo,kwamba unaamini with Sgr Waganda watahama Njia ya Mombasa waje Tanzania? Labda kama hawataunganisha reli Yao na Kenya ila wakiunganisha hakuna kitu hapo itaendelea kuwa alternative tuu in case of inconveniences
Wazee wa upinde wote waende Kenya! Huko si wanahaki!
Hio 5 to 6 days umetoa wapi??Mzigo utaroka Dar na kufika Uganda Port Bell in less than a day compared to 5 to 6 days Mombasa route sasa wewe kama mteja utatumia route gani.
Huwa wanatoa wapi hayo mawe!?Oneni jahanam ya duniani oneni makazi binaadamu anaishi aisee alhamdulilah [emoji2969]
Sasa unataka kusema siku ngapi? Walati mzigo unafaulishwa naivasha?Hio 5 to 6 days umetoa wapi??
Deal gani wewe unakuja kutudanganya hapa ni kichaa gani atakuja kuekeza kenya hio 56b ya electric BRT iko wapi sio nyinyu mliopoteza pesa za taxpayers kuchora thika yote mukadhani BRT ni sawa na kula githeri tu 🤣🤣🤣🤣🤣Some of the deals that Ruto concluded with the European Union and US companies this week
1) VISA to set up, and launch #KOMEX
2) GENERAL ELECTRIC (GE) Healthcare to explore Knowledge Transfer through top Kenyan universities
3) COCACOLA to grant $1M to SME/Youth activities.
4) PFIZER to work with MOH
5) KENINVEST to fastrack #STIP
6) ABBOT to manufacture in Kenya
7) USTDA to partner in Digital, Healthcare,
8) Kenya also receives Ksh. 56 Billion from the European Union for construction of first electric BRT in East Africa.
9) Deal highlight was Moderna to build first MRNA Facility outside of the US in Kenya with an investment of USD 500M.