Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hicho ki Sgr hakiwezi kuja kuleta faida ,Kwa mzigo gani huko Mwanza inakojengwa?

Tazara inayoenda ambako 70% ya mzigo wa Bandari ya Dar inakula hasara sembuse hiyo ya kwenda Mwanza na Kigoma?

Bora Kunyaland mlijenga Sgr kwenye economic corridor
Kwasababu mradi ulianzishwa na magufuli ila anganzisha mama haya mapovu tusingeyaskia 🤣🤣🤣🤣 mbona anaendeleza sasa kama hajui faida yake

SGR kwenda mwanza kuna faida sana hasa mizigo inyoenda uganda ww huwez kuona faida kwasababu una kichwa cha mwendawazimu 😆😆😆😆
 
Ona dictatorship hehe sasa kuna wengine hawataki watanzania wajue ukweli lazima serikali ifiche ukweli kwa Nija zote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2570778
Sasa hutak aseme ukweli kama kuna upotoshaji ikiwa third class SGR ni modern kuliko 1st class yenu je ulitaka bei ziwe sawa au??🤣🤣🤣🤣
 
Kuoungua kwa hasara tena almost 50% ni gap kubwa sana la kuekelea kwenye faida kama ulipata hasara ya 60b mwaka jana na mwaka huu ukapata ya 35b ipi ina ahueni kwako??😆😆😆😆 nijibu bila hasira
ATCL ishaitengeneza faida tangu ianzishwe?😂😂😂
 
Karibuni sana watu 200 kuja kwa mara moja kilimanjaro ni jambo zuri sana 🇹🇿🇹🇿

Screenshots_2023-03-30-14-17-10.png
 
Nchi yenye laana hii hao wanaojifanya wamesoma sijui KBS wako wapi ?? Wanafanya kazi gani mpaka hali inafkia hapa
 
Ni hatua nzuri ulioichukua lakini bado haitoshi ni nyepesi sana nilitaman kuskia na mali zao zitaifishwe hapo ingeleta maana

Waziri mbarawa bado anafanya nn au anasubiri nn ?? Waziri wa fedha anasubiri nini?? Gavana wa BOT anasubiri nini ???

 
Huyu alikimbia nyumban baada kuona atapata maswali mengi ya wakenya juu ya ujio wa kamala tanzania na sio kenya 😆😆
 
Kwasababu mradi ulianzishwa na magufuli ila anganzisha mama haya mapovu tusingeyaskia 🤣🤣🤣🤣 mbona anaendeleza sasa kama hajui faida yake

SGR kwenda mwanza kuna faida sana hasa mizigo inyoenda uganda ww huwez kuona faida kwasababu una kichwa cha mwendawazimu 😆😆😆😆
Wala sio sababu hiyo,wewe unaona Sgr itabeba nini huko Mwanza?

Hiyo trc Kuna mwaka imewahi pata faida? Tazara inakula hasara sembuse TRC..

Mimi nilishaikataa hiyo reli siku nyingi sana ila Kwa kuwa ni mapambo na miradi ya kupigia pesa sawa pigeni ila kwenye Tija hamna kitu..

Ni sawa na wale waliposema wanajenga Bandari za Karema na Kasanga eti Ili kuondoa msongamano wa malori Tunduma,unajiliuza how? Kwa Jiografia Ipi?

Bandari zimekamilika Kwa mabilioni, congestion ndio kwanza inazidi pale Tunduma.
 
Wala sio sababu hiyo,wewe unaona Sgr itabeba nini huko Mwanza?

Hiyo trc Kuna mwaka imewahi pata faida?
Itabeba mizigo ya kwenda rwanda na uganda na kanda ya ziwa yote ww unataka ibebe nini?? Utaoanaje faida wakat uwekezaji unaendelea au huna uelewa kua hio ni long term projects unategemea faida ipi wakat bado investments inaendelea hata ATCl tena nimewapongeza sana Air tanzania wamenifurahisha sana kupunguza hasara ya almost 50% ndani ya mwaka mmoja is not a joke kwenye aviation industry
 
Back
Top Bottom