ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hata nakuru haitoboi kwa morogoro ww unasemea nyeri 😆😆😆Now what is this even nyeri beats it hands down
Hata nakuru haitoboi kwa morogoro ww unasemea nyeri 😆😆😆Now what is this even nyeri beats it hands down
Sasa hutak aseme ukweli kama kuna upotoshaji ikiwa third class SGR ni modern kuliko 1st class yenu je ulitaka bei ziwe sawa au??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata nakuru haitoboi kwa morogoro ww unasemea nyeri [emoji38][emoji38][emoji38]
Ikiwa third class ni modern kuliko 1st class yenu sioni kama kuna tatizo na ajabu still 1st class yenu ni ghali kuliko hzo third class 🤣🤣We know this tactics. They used kikiumana
Sasa mm nakwambia nakuru haitoboi kwa morogoro tena namaanisha hasa 😆😆😆You don’t know what you saying wacha nakuru am saying nyeri nakuru you can’t compare to that town
nyeri yenyewe sasa 😂😂😂😂😂Now what is this even nyeri beats it hands down
Wakenya wengi wameanza kupata akili baada ya nchi Yao kuanza kutumbukia katika machafuko
Ona uongo wao sasa yani wanadanganya mchama kweupe kabisa 😆😆😆 ataje hzo cruise ship tuzione
Wakenya achaneni na hii habari nyinyi muandame kwa bidii zote pasuaneni tu mpaka kieleweke
Aisee nmeangalia zaidi ya mara kumi, vijana wa Kenya wana hali ngumu sana kwakweli, nguo zao ziko hovyo sn, yn hata vijana wa vijijini huku Tz hawavai hivyo alafu hayo mazingira ndiyo usiseme kabisa, ovyo sn hata mm ningeandamana.Oneni jahanam ya duniani oneni makazi binaadamu anaishi aisee alhamdulilah [emoji2969]
Inatakiwa wapungue, watatuletea matatizo EA wapo wengi sana alafu chakula hakiwatoshi pia ni wazembe sn wacha wapungue.Haya maandamano mara 2kwa wiki haitoshi iwe mara 5kwa wiki ili kieleweke