Tunaangalia vile mnavyoanza kuuana afu tuwaletee chakula mana tunawajali..Tanzanians are more glued to Kenyas tv sations than Kenyans themselves
Tunaangalia vile mnavyoanza kuuana afu tuwaletee chakula mana tunawajali..Tanzanians are more glued to Kenyas tv sations than Kenyans themselves
Alaf mtu anakaa hapa anavimbisha fuvu sisi tuna uchumi mkubwa 😆😆😆😆😆
Inaenda towards parklands, Westlands etc.
Teargas ni huyo hapo nyuma aliyevaa jaketi jekundu.🤣🤣Mmemuona Teargas? View attachment 2568033
Hebu tupia picha za Airport yoyote ya Kenya
![]()
![]()
![]()
Upuuzi mtupu. Mnapenda vitu cheap.Inaenda towards parklands, Westlands etc.
Kimberly loading.......Tanzanians are more glued to Kenyas tv sations than Kenyans themselves
Ni nani atakuja kuekeza kenya ??😆😆😆 nchi ya ujerumani yenyewe hali mbaya alaf watoke waje waekeze kwenye nchi haina amani na siasa zenyewe hazieleweki
Wakenya wote mnachangia sio Rutto na makamu pekee, ninyi hamtaki kukubali mapungufu yenu, Kila mkiambiwa hamtaki kukubali badala yake mnajifanya wajuaji wa Kila kitu.Ruto na makamu wake wanaipeleka hii nchi pabaya sana. Vitu kama hivi ndo vinachangia wananchi kuwa na hasira na vinaweza kukaribisha revolution wasipochunga
Sasa imeingia kwenye vita vya dini ?? Yani huku vita vya siasa, huku vita vya kikabila na sasa rasmi vita vya dini 🙌🙌🙌🙌Kenya ni nchi ya hovyo! Hii inatoka kwenye group na cousins zangu! Nairobi ni ujinga mtupu unaendelea View attachment 2568001
Mwenzako anakuonesha watalii wakifurika ww unatuonesha begi la msafiri serious??😆The tiny Kisumu airport. Nimeamua nisi-post Mombasa, Wilson, Isiolo, Eldoret, Malindi, etc. Hawa watu watangoja kiasi with that kiosk of theirs
![]()
![]()
![]()
![]()
In Africa if you want to get attention, then you have to start killing each other, the way you Kenyans are doingTanzanians are more glued to Kenyas tv sations than Kenyans themselves
Au ianzishwe mashindano ya vitasa yaitwe SAMIA VITASA CUP,mshindi aibuke na kitita kikubwa mchezo wa ngumi utakuwa na mvuto hatare.Kabisa chief