thisdayes
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,610
- 4,557
Pole mkuu.. uko sahihi nyumba ni choo. Ila abood wanakera sana halafu wana charge kama Luxuary kumbe ujinga tu.Kwa kweli wajitafakari.
Mimi nikikuta nyumba nzuri kitu cha kwanza huwa ninaangalia vyoo na bafu zikoje nikikuta kuchafu hapo hapo thamani yake inapotea na uzuri wote unaisha.
Alianza anatoa mabasi 2 ila sasa hivi ni 1 asipokuwa makini hata hilo moja litasitisha safari ya huko.
Mimi nilinunua mishikaki pale aisee ilikuwa na chumvi hadi tumbo nilihisi kujaa gesi mpaka nimefika home niko taabani.![]()


