Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa kweli wajitafakari.

Mimi nikikuta nyumba nzuri kitu cha kwanza huwa ninaangalia vyoo na bafu zikoje nikikuta kuchafu hapo hapo thamani yake inapotea na uzuri wote unaisha.

Alianza anatoa mabasi 2 ila sasa hivi ni 1 asipokuwa makini hata hilo moja litasitisha safari ya huko.

Mimi nilinunua mishikaki pale aisee ilikuwa na chumvi hadi tumbo nilihisi kujaa gesi mpaka nimefika home niko taabani.
Pole mkuu.. uko sahihi nyumba ni choo. Ila abood wanakera sana halafu wana charge kama Luxuary kumbe ujinga tu.
 
Nairobi streets on a Monday morning
IMG_111340_27323.jpg
IMG_111335_27323.jpg
IMG_111321_27323.jpg
IMG_111346_27323.jpg
IMG_111314_27323.jpg
IMG_111308_27323.jpg
IMG_111329_27323.jpg
IMG_111259_27323.jpg
 
Thwake dam, one of the 8 dams currently under construction in Kenya for irrigation and domestic water purpose. The dam will provide water to over 1.3m people around semi arid areas of ukambani and also provide water to konza city
IMG_111507_27323.jpg
IMG_111407_27323.jpg
IMG_111412_27323.jpg
IMG_111424_27323.jpg
IMG_111418_27323.jpg
IMG_111441_27323.jpg
IMG_111513_27323.jpg
IMG_111401_27323.jpg
IMG_111446_27323.jpg
 
Thwake dam, one of the 8 dams currently under construction in Kenya for irrigation and domestic water purpose. The dam will provide water to over 1.3m people around semi arid areas of ukambani and also provide water to konza cityView attachment 2567393View attachment 2567394View attachment 2567395View attachment 2567396View attachment 2567397View attachment 2567398View attachment 2567399View attachment 2567400View attachment 2567401
Hiki ni kichekesho tu kwa Tz mkuu, tupo mbali sana, japo mmejaribu but bado kazi ya kijuakali hii, kama mnaamua kufanya kitu basi fanyeni na sio mnafanya kijuakali juakali kama hivi, ni wachina wanajenga lkn jua kali type kama kawaida yenu.
 
Jamen.. kuna mchina tunaongea nae kupitia wechat.. ni mechanical engineer tulisoma nae zaman US.. anataka kuijua Tanzania.. mwenye video links za youtube naomba anitumia humu au inbox nimtumie
Screenshot_20230327-130904_WeChat.jpg



Updates
At least leo nimekuwa mzalendo kuutangaza nchi 😀
Screenshot_20230327-132856_WeChat.jpg
Screenshot_20230327-132929_WeChat.jpg
 
Hapa Mama pia angeongea kitu kwa hawa madogo kwenye vitasa wanatuwakilisha vizuri sana.

Akiwapa motisha tutaibua vijana wengi na kuzidi kuitangaza nchi kimataifa. Tuna vipaji vingi vipo mtaani shida kubwa wanakosa mtu wa kuwabeba.

Kwa mfano akisema kila bondia atakayeshinda mkanda wa kimataifa anapewa 20m,aisee vitasa vitapigwa na watu watapigika.

Mama hata wapiga masumbwi ni wanao pia kama wa footballer.

Siwaachi nyuma kuwapaongeza Azam Media kwa kuutangaza huu mchezo hongereni sana.
Kabisa chief
 
Back
Top Bottom