Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

99% ya watanzania hapa wanapost about kenya. Wakenya na watanzania wote wapost about Kenya, nani atatuonesha mazuri ya dar
Mnajifariji tu mbn mm sijui chochote kuhusu nchi yenu hivi sasa, Watz 99.9% hawajui chochote kuhusu Kenya hata mji wenu mkuu hawaujui wanajua kdg Mombasa mana ipo karibu na Zanzibar.
 
Dar munaiweza kwani ?? Ujenzi wa BRT phase 3 ushaanza na ujenzi wa BRT phase 2 uko over 90% bado munafkiri dar mutaiweza ?
Wewe kwanza you're the biggest confused fella hapa. Kila saa Kenya this, kenya that na kupost malinks hapa zenye hata hamna anayezifungua.
Kama dar hakuna progress na hamna cha kuonesha kubali kushindwa tufunge huu uzi . Yani unapitia kurasa baada ya kurasa na content kuhusu dar es salaam ni chache mno
 
Imagine nchi makamu wa Rais kama yule inachaje kufanya uhuni.
Ruto na makamu wake wanaipeleka hii nchi pabaya sana. Vitu kama hivi ndo vinachangia wananchi kuwa na hasira na vinaweza kukaribisha revolution wasipochunga
 
Jaluo mmoja kashalazwa chinii

20230327_072551.jpg
 
Wewe kwanza you're the biggest confused fella hapa. Kila saa Kenya this, kenya that na kupost malinks hapa zenye hata hamna anayezifungua.
Kama dar hakuna progress na hamna cha kuonesha kubali kushindwa tufunge huu uzi . Yani unapitia kurasa baada ya kurasa na content kuhusu dar es salaam ni chache mno
Mm najaribu kuwaonesha kua mubadikike dunia ishawavua chupi sasa mujue hakuna kitu mutadanganya juu ya uso wa dunia na munishkuru sana mm najaribu sana kuwakumbusha muachane na stori za kujisifia uongo😆😆 mambo yamebadlika badilikeni oneni leo munavodhalilika na kuhangaika huku na kule
 
Ruto na makamu wake wanaipeleka hii nchi pabaya sana. Vitu kama hivi ndo vinachangia wananchi kuwa na hasira na vinaweza kukaribisha revolution wasipochunga
Na hii ndio matunda muliovuna kudanganya ulimwengu kua muko vzr kumbe kwa ground ni afadhali ya jana 😆😆😆 wala musilaumu ruto mulaumu zile sifa za uongo munazo danganya dunia miaka yote sasa mambo yako hadharani munaanza kutafuta mchawi sahivi
 
Another escalade 2023 kahama🇹🇿🇹🇿🇹🇿
 
Alafu wanapambana ki local sn, mambo ya karne ya 17 haya.
Waki endelea hivi itabidi mtanzania mmoja akatawale kenya Kwa kipindi cha mpito kwanza na kuweka baadhi ya reforms.

Nanusa mapigano makali sana hapo ya kikabila na Nchi kuingia kwenye machafuko. Hapo kila upande una wahuni wake na wanawaingiza barabarani kuharibiana...
 
Back
Top Bottom