The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,529
Yani apa naangalia mechi ya Simba queens vs Yanga princess, very classic game. Hizi team zinafunga timu za wanaume kule Kenya. Tuko mbali sn wazee.
Ukweli mchungu kwenu., hamuwezi kubadili ukweli ata mlie mkariri mapambio zenu, muweke vipicha.., google earth iko tena ni bure..., Tanzania na Kenya ziko wazi peupe, tunamulika tokea kushota hadi kulia, Kaskazini hadi kusini.., haunidanganyi wewe, hizi hekaya zako nenda ukakaririe wa vijiweni na uwaonyeshe vipicha..,Tayari pambano limeanza kukuzidi uwezo.
Sasa umeshindwa kuleta BRT unaanza kuruka ruka tu.Ukweli mchungu kwenu., hamuwezi kubadili ukweli ata mlie mkariri mapambio zenu, muweke vipicha.., google earth iko tena ni bure..., Tanzania na Kenya ziko wazi peupe, tunamulika tokea kushota hadi kulia, Kaskazini hadi kusini.., haunidanganyi wewe, hizi hekaya zako nenda ukakaririe wa vijiweni na uwaonyeshe vipicha..,
AKILETA nakunya umu ndaniSasa umeshindwa kuleta BRT unaanza kuruka ruka tu.
Alete zile bus za kuunga na seli nazo ni mbili ety hahahahaaaaSasa umeshindwa kuleta BRT unaanza kuruka ruka tu.
Airport empty hatuna Kenya.Ukileta Airport nzuri kama hii kutoka kenya niite mbwa
![]()
![]()
![]()
![]()
Ukweli mchungu kwenu., hamuwezi kubadili ukweli ata mlie mkariri mapambio zenu, muweke vipicha.., google earth iko tena ni bure..., Tanzania na Kenya ziko wazi peupe, tunamulika tokea kushota hadi kulia, Kaskazini hadi kusini.., haunidanganyi wewe, hizi hekaya zako nenda ukakaririe wa vijiweni na uwaonyeshe vipicha..,
empty uliona wapi we kukubanga sema na ukubali amfiki apoAirport empty hatuna Kenya?
Ni vigumu sana team za Tanzania kupiga team za Kenya ikija kandanda.., usijitoe ufahamu mjukuu..,Yani apa naangalia mechi ya Simba queens vs Yanga princess, very classic game. Hizi team zinafunga timu za wanaume kule Kenya. Tuko mbali sn wazee.
Airport empty hatuna Kenya?
Wewe ni mpumbavu kweli.., unajitia hamnazo unajificha nyuma ya BRT, your only strength., mwehu bladfwakin kabisa 😂 😂 😂 😂 😂Sasa umeshindwa kuleta BRT unaanza kuruka ruka tu.
Hebu tupia picha za Airport yoyote ya KenyaAirport empty hatuna Kenya?
AU zipo kama super mario heeeeeeeee unawashwa ety usijipime na sgr twende na MGR yetu VS SGR kenyani tuone
Sasa unaniita mpumbavu!! kati yangu na wewe nani mpumbavu? Kwanini hutaki kuleta BRT toka kenya. Kwani hakuna BRT kenya?Wewe ni mpumbavu kweli.., unajitia hamnazo unajificha nyuma ya BRT, your only strength., mwehu bladfwakin kabisa 😂 😂 😂 😂 😂
MGR ya tz 2010
Uhasibu is not operational, Chang'ombe is not a flyover.Tazara,Uhasibu,Chang'ombe.
Kusafiri huwezi, unatamani kuja Tz ila kipato kdg endelea kujifariji na vitakwimu uchwara ila siku ukipata japo bonus ya kuja Tz utajinyonga.Kadanganye wa vijiweni wenzako kilaza, hapa sio vijiweni tuondolee huu upuzi wako humu wewe mwehu., eti wivu, nani aonee Tz wivu! a poor country, unajaribu kulazimisha eti JNIA banda la Kuku lionekane eti ni "very busy"nyambaff![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ni vigumu sana team za Tanzania kupiga team za Kenya ikija kandanda.., usijitoe ufahamu mjukuu..,