Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Usijali,,,hiki kipindi kinapita tu Na mambo yatakuwa Sawa,

Kitapitaje sasa ikiwa nchi nzima mnaishi kwa kula ugali, halafu hamlimi mkitegemea wakulima wa Tanzania wawalimie wawauzie kwa bei mnazoweza kumudu?
Huoni kama unga utaendelea kupanda bei na maisha yatakaza sana pande hizo ?
 
France wana protest bei ya unga?
Know your lane [emoji2]

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mwaka jana wananchi wa uingereza waliandamana kutokana na high cost of living
Infact kumekua na protests kwa nchi nyingi za ulaya na duniani mwaka jana kutokana na hio issue

 
The pride of any country is the performance of its national team at the international stage. Timu ya taifa ndio inapeperusha bendera ya nchi. Nitajie ni wapi bendera ya Uingereza hupeperushwa Arsenal ama Man Utd wanapocheza
Tatizo wewe uwezo wako wa akili ni mdogo sana, sio rahisi kuwa na "meaningful discussion" na wewe.

Niliuliza hilo swali Ili baadae ndio niulize swali kutokana na jibu lake atakalotoa.

Sasa ngoja niendelee kujibu kutokana na ujinga wako.

The nation team gives pride to the nation, while football league creates employment opportunities, builds the economy of the country.

Now, are you for pride or for economy?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2561199
Kenya and Tanzania are punching below their belt. They can do more than the 1m they are currently getting. There is more to these countries than wildlife and beaches. Just have to be creative.
Usifananishe tanzania na kenya bro kwenye maswala ya fursa za kitalii yani ni mbingu na ardhi ndio tofaut yake hakuna nchi africa yenye fursa nyingi za kitalii kama tanzania hakuna mark my words 😆😆😆 na tanzania ndio kama imeanza kutumia fursa za kitalii huu ni mwanzo tu ila yajayo yanafurahisha

Ww hushangai revenue yenu ni ndogo kuliko idadi ya watalii yani tuseme hzo hesabu ziko sawa? au muliingia maabara kidogo kwenda kupika takwimu??🤣🤣🤣
 
Tatizo wewe uwezo wako wa akili ni mdogo sana, sio rahisi kuwa na "meaningful discussion" na wewe.

Niliuliza hilo swali Ili baadae ndio niulize swali kutokana na jibu lake atakalotoa.

Sasa ngoja niendelee kujibu kutokana na ujinga wako.

The nation team gives pride to the nation, while football league creates employment opportunities, builds the economy of the country.

Now, are you for pride or for economy?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Your argument is so shallow. Hivi hao wachezaji wa national team hawakosolewi kwenye employment na timu ya taifa? Hizo mechi zao hutazamwa bure bila mashabiki kulipia? Doesn't this create employment and help the economy?

Wacha kusifia ligi iliyojazwa na foreigners wakati timu yenu ya taifa hupigwa kila kuchao!
 
Yes, in Tanzania we choose economy over pride, I know Kenya you value pride than anything


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
If it was such a big contributor in your economy, mngekuwa mbele yetu kiuchumi. Uzuri ni kwamba hiyo economy unayotaja tumewashinda na hizo timu zenu, your national team included, pia tunazinyorosha!! 😂😂😂
 
Lakini you sound more of tribalist than even Kenyans. Our politics are shaped the way they are because of our origins. We are very proud of our 42tribes and that is not going to disappear even in 1000s years to come. The problem is when "politicians" use the masses for greedy self interest. But than doesn't mean Kenyans are divided.
You want to tell us that all Kenyans can't control their lives, instead politicians decide for them?.

Kenyans embrace tribalism than any other thing, that is the core of your problem, the sooner you accept the reality and work on it, the better. Do not hide your head below the sand.

Tribes and tribalism are two different things, in Tanzania we have over 130 tribes, but we don't have tribalism.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Your argument is so shallow. Hivi hao wachezaji wa national team hawakosolewi kwenye employment na timu ya taifa? Hizo mechi zao hutazamwa bure bila mashabiki kulipia? Doesn't this create employment and help the economy?

Wacha kusifia ligi iliyojazwa na foreigners wakati timu yenu ya taifa hupigwa kila kuchao!
Hapa ulijibu kama ng'ombe [emoji230]
 
Tatizo wewe uwezo wako wa akili ni mdogo sana, sio rahisi kuwa na "meaningful discussion" na wewe.

Niliuliza hilo swali Ili baadae ndio niulize swali kutokana na jibu lake atakalotoa.

Sasa ngoja niendelee kujibu kutokana na ujinga wako.

The nation team gives pride to the nation, while football league creates employment opportunities, builds the economy of the country.

Now, are you for pride or for economy?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
joto la jiwe umejibu vzr sn hapa, kiukweli kabisa ni bora nchi iwe na ligi bora kabla ya kuwa na timu ya taifa bora, nchi za west Africa zilianza kuwa na ligi bora zen baada ya hapo wachezaji wakaonekana ulaya huko wakawa wanachukuliwa mpk hv sasa ni rahisi kwa wachezaji wa kule kwenda ulaya kiasi kwamba timu zao za taifa zinabebwa na hao wachezaji, pia ligi ina faida kubwa kiuchumi kuliko timu za taifa hilo lieleweke. Kodi ambayo inapata nchi kama England kutokana na ligi ni kubwa kuliko hata ile ambayo wangepata kwa national team yao kuchukua world cup.
 
If it was such a big contributor in your economy, mngekuwa mbele yetu kiuchumi. Uzuri ni kwamba hiyo economy unayotaja tumewashinda na hizo timu zenu, your national team included, pia tunazinyorosha!! [emoji23][emoji23][emoji23]
We pumbavu kweli kweli wewe, unajibu nini hapa ama njaa inakusumbua asubuhi asubuhi zinjanthropus wewe.
 
Your argument is so shallow. Hivi hao wachezaji wa national team hawakosolewi kwenye employment na timu ya taifa? Hizo mechi zao hutazamwa bure bila mashabiki kulipia? Doesn't this create employment and help the economy?

Wacha kusifia ligi iliyojazwa na foreigners wakati timu yenu ya taifa hupigwa kila kuchao!
Chizi wewe, kati ya Uingereza na Argentina, ni nchi gani inayopata pesa nyingi na kutengeneza ajira nyingi kutokana na football?.

Kodi inayopata nchi ya Uingereza kutokana na kuwepo na ligi ya Uingereza, ni zaidi ya mara 1000 ya Kodi inayopata Argentina kutokana na timu Yao ya taifa.

Ajira zinazotokana na kuwepo kwa ligi ya Uingereza pekee, ni sawa na ajira zote zinazotolewa na serikali ya Argentina kwa raia wake. Akili yako haipo sawa wewe

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Chizi wewe, kati ya Uingereza na Argentina, ni nchi gani inayopata pesa nyingi na kutengeneza ajira nyingi kutokana na football?.

Kodi inayopata nchi ya Uingereza kutokana na kuwepo na ligi ya Uingereza, ni zaidi ya mara 1000 ya Kodi inayopata Argentina kutokana na timu Yao ya taifa.

Ajira zinazotokana na kuwepo kwa ligi ya Uingereza pekee, ni sawa na ajira zote zinazotolewa na serikali ya Argentina kwa raia wake. Akili yako haipo sawa wewe

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwanini unapata tabu na hilo zinjathropus, jitu la kale hilo.
 
Back
Top Bottom