Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Calm Nairobi this morning. You can't find these kind of streets anywhere in this region.

337158534_594669395634798_3324977371868034244_n.jpg

Dar CBD is cleaner and modern than this pathetic thing you just shared
IMG_4464.jpg

IMG_4461.jpg

IMG_4459.jpg

IMG_4457.jpg

IMG_4455.jpg
 
Hii battle kuna time inapoteza maana kabisa, unaweza kuuliza kwanini.?

Tutashindanishaje donor country vs hawa jamaa wenye wanaandamana kwa kukosa unga.? 🤣

Ila jamaa wameidanganya sana dunia.. waswahili wanasema "ukweli utafika tu hata kama utachelewa" saivi sio siri tena 🤣🤣
umeamua kupiga uppercut kwenye korodani kabsaaa!! mwana umeua kizazi🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Hii battle kuna time inapoteza maana kabisa, unaweza kuuliza kwanini.?

Tutashindanishaje donor country vs hawa jamaa wenye wanaandamana kwa kukosa unga.? 🤣

Ila jamaa wameidanganya sana dunia.. waswahili wanasema "ukweli utafika tu hata kama utachelewa" saivi sio siri tena 🤣🤣
Waswahili husema mchana huenda na usiku hurudi 🤣🤣🤣
 
Ukweli hawa watu ni mafukara,
Yaani bei ya Unga wa ugali imesababisha maandamano ya nchi nzima ?
Dunia inawalazmisha wabadilike na sio kukaa kujificha kwenye uongo wa kudanganya dunia hii

Wakubaliane na madhaifu yao wajue dunia inafahamu uongo wao warudi chini wajipange vzr huo ndio ushaur wangu🤣
 
Back
Top Bottom