Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We kuwa mstaamilivu tu, mda si mrefu tutapanda daraja tu. Ila ukumbuke ya kuwa tanzania itakuwa middle country ya ukweli wala si kama ya kenya ya kwenye makaratasi.
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
its always good to dream bro
 
is that all you got???
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nimengoja uniletee kitu kikubwa mpaka mwenyewe ni nyamaze...
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
kumbe ni hivi vitu vya kawaida mno
vya kawaida kwako labda maana zanzibar umeiogopa😀😀😀😀😀😀😀😀 sijui kwanini zanzibar unaiogopa
 
Back
Top Bottom