Masterkratos
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 584
- 576
Namatusi yapo!kaulize mamako
Wacha kutuwekea minara kila pagesecond Nairobi airport...Wilson Airport
![]()
Sasa wazazi wanakujaje jf jaman? Acha kucatch mafeelings bro 😀😀😀 najua ichoboy kakukamata sehemu mbaya ila vumilia na upunguze hasira, sawa kibera dweller?kaulize mamako
umemwuliza lakini?Sasa wazazi wanakujaje jf jaman? Acha kucatch mafeelings bro 😀😀😀 najua ichoboy kakukamata sehemu mbaya ila vumilia na upunguze hasira, sawa kibera dweller?
Kaka topic iliyopo mezani ni hotels znz vs msa, sasa mbona umebadili gia angani bila taarifaa? ilibidi ukiri kwanza kwamba umeshindwa then tuende kwenye topic nyingine, hahahaaa znz imekutenda vibaya jombaa, umediverge fasta mana uliona umegusa untouchable angle, kwikwikwiii, sio kwa confidence ile uliyomjibu ichoboy halaf ukahama mada fastafastacheck out this skyline
![]()
![]()
![]()
mwenzako kaleta utoto...ila nilkua nimesha predict jamaa ataleta mzaha...ingekua kadoda bila shaka tungejadili kama wazee lakini wengine mpaka watairiwe mwanzo..nashuku ni teenagerWacha kutuwekea minara kila page
Umeomba Mombaasa Vs Zanzibar vipi tena
fungua uzi maalum basi twende kazi....mwenzako utoto alionao hatuwezi tuka accomplish chochoteKaka topic iliyopo mezani ni hotels znz vs msa, sasa mbona umebadili gia angani bila taarifaa? ilibidi ukiri kwanza kwamba umeshindwa then tuende kwenye topic nyingine, hahahaaa znz imekutenda vibaya jombaa, umediverge fasta mana uliona umegusa untouchable angle, kwikwikwiii, sio kwa confidence ile uliyomjibu ichoboy halaf ukahama mada fastafasta
.kwenye airpot ..hapo nawapa tano.....ila sisi tumeanza picha upya .....mkae kwa umakini
😀😀😀😀😀kulia mnapnda sana.
Huo uwanja wa ndege ni baadhi ya mali walizotudhulumu, ulijengwa na jumuia ya Afrika mashariki wakati huo Nairobi ikiwa ndiyo kitovu cha anga kwenye jumuia.
asante kwa povu...endelea ku-repost picha za cbd na upperhill upoze hasira.hivi 300 million usd ni pesa nyingi??? enyewe miafrika🙁🙁🙁🙁🙁unanihuzunisha...ongelea billions bana...300 m inasaidia nchi kivipi?? pengine ingekua ni familia moja tu...Chris Kirubi wa Kenya ana net worth ya 300m USD...😀😀😀

Sasa wazazi wanakujaje jf jaman? Acha kucatch mafeelings bro 😀😀😀 najua ichoboy kakukamata sehemu mbaya ila vumilia na upunguze hasira, sawa kibera dweller?
