Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Sioni cha maana naona vibanda vya sausage na mayai ya kuchemsha ndo vimejaa mjini , ivi kuna usalama ki afya nikila ivi vitu yani kuhusu kipindupindunaona umeamua kujiburudusha angalau......tembea tembea jijini umalize ushamba ulionao😀😀😀
tembea ndugu...umeona hivyo vibanda sababu ndipo unaweza ku afford mtanzania toka LDC...ila tembea city centre na upperhill ukajionee hata kama huwez uka afford...mijengo ambayo nataka ukazione ni hiziSioni cha maana naona vibanda vya sausage na mayai ya kuchemsha ndo vimejaa mjini , ivi kuna usalama ki afya nikila ivi vitu yani kuhusu kipindupindu
Hahahahaa kwa hio train ya abira Kenya huku kwetu inabeba mizigo.
