Ninarudia Tena, hakuna musician yeyote katika ukanda huu mwenye Nyumba inayozidi japo $500,000. The richest musician in East Afrika, Diamond Platnumz, Nyumba yake South Afrika alinunua kwa $200,000.
Hapa Tanzania alinunua Hotel, hiyo ni investment, sio residential house, kwa Tshs 1.5B, sawa na $700,000. Lakini Nyumba zake zote alizonazo, hakuna inayozidi $500,000. Wacheni ujinga nyinyi, kupenda sifa.
Akothe hana pesa yoyote ya maana, hana miradi yoyote inayoonekana yenye kumuingizia pesa Kama miradi ya Diamond inavyoonekana, taja pesa anatoa wapi?
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app