Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,098
- 32,919
Huyo nyang'au huwezi kumbadilisha; mwache aendelee kuamini anachokiamini.Hivi ninyi mnamjua Diamond au mnamsikia, mtu ambaye anawekeza miradi pamoja na Holly wood super stars, ninyi mnataka beach za Diani, mashamba ya miti na shule, are you really serious?.
Mwanamziki pekee ambaye anaweza kumzidi Diamond katika uwekezaji ukanda huu ni Fally Ipupa na Kabda Kofii Olomide kwasababu ameanza zamani.
Wasafi TV na Redio stations pekee, zinatosha kumfanya kuwa mwanamziki tajiri kuwazidi wanamziki wa Kenya wote kwa pamoja.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app