ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,427
- 88,515
Changing face of Mbeya City
Account yake ya Youtube tuu ina-views zaidi ya 2B, on average 1000 views ni sawa na $3. Hiyo ni sawa na $6million.Mwanamziki tajiri kuzidi wote hapa EA ni Diamond, lakini hafikii hiyo pesa hapo, Kama amezidi Sana atakuwa anakaribi $7M, lakini hata hiyo Nina wasiwasi naye.
Ubaya hizo pesa amekuwa akitumia in girls na kujibrag nazo, si ati anaziinvest. Remember money once spent wrongly will never return. One thing Akothee is doing better than most artists is investments. Huyo akipata tu pesa hivi anaweka kwa biashara. She has started horticulture business right now and right now she owns a Forest with 40,000 pieces of eukalyptus Grandis and still expanding. She is planning to 500,000 pieces with each earning $10. You can search for Akothee ForestAccount yake ya Youtube tuu ina-viewers zaidi ya 2B, on average 1000 views ni sawa na $3. Yeye anazaidi ya 2 billion views kwenye account yake ambayo ni sawa na thamani ya $6million.
Hiyo Ferrari ya Akothee can buy two Cadillac escalade mbili za Diamond Hadi abakishe change😂😂Hapa sasa tunaenda vizuri
Tuchague gari nne rufanye cost comparison
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Mimi siwezi kujuwa utajiri wala investments za hao wasanii. Nilikuwa tuu namuonesha joto la jiwe kuwa pesa hiyo $7m na zaidi anapata.Ubaya hizo pesa amekuwa akitumia in girls na kujibrag nazo, si ati anaziinvest. Remember money once spent wrongly will never return. One thing Akothee is doing better than most artists is investments. Huyo akipata tu pesa hivi anaweka kwa biashara. She has started horticulture business right now and right now she owns a Forest with 40,000 pieces of eukalyptus Grandis and still expanding. She is planning to 500,000 pieces with each earning $10. You can search for Akothee Forest
Akothee nyar karachuonyo is still heavy for you tanzanians [emoji1787][emoji1787]Akothee Ako na vitu expensive. Diamond Ako na cheap vehicles [emoji23][emoji23][emoji1787].
Ebu check price ya hii gari alafu uniambie itanunua Cadillac Escalade ngapi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2553783
Yani Akothee anawanyima usingizi to a point Sasa wanaamza kumlinganisha YouTube subscriptions 😂😂. Kitu hawajui siku hizo Akothee YouTube kupata pesa zake, that's a business woman with brain. Anapata pesa alafu anaziinvest mahali. She is now in real estate, building luxury houses then sells to rich people at a higher price, she also has a foundation known as Akothee Foundation.Akothee nyar karachuonyo is still heavy for you tanzanians [emoji1787][emoji1787]
Views za Afrika 1000 ni less than $1, jaribu kufuatilia jinsi wanavyothaminisha viewers kutoka maeneo ya Dunia.Account yake ya Youtube tuu ina-views zaidi ya 2B, on average 1000 views ni sawa na $3. Hiyo ni sawa na $6million.
Barabara zenu kienyeji mno, maisha yako yote unaweza kufananisha hicho kituko na barabara kama hii ya Tanzania? ninyi kufika ilipo Tanzania leo kwenye barabara mnahitaji waingereza wawatawale upya miaka 70 then mpate uhuru wa piliThis road in Karen was made with strict rules not to cut down any tree. Karen is green and strives to remain that way
View attachment 2554075View attachment 2554076View attachment 2554077
Sasa mko tu na 7000 km of tarmac in tz while Kenya is at 30,000km with a total road network of 180,000...facts are against your wishful thinking. Do you even know what a policy is.Barabara zenu kienyeji mno, maisha yako yote unaweza kufananisha hicho kituko na barabara kama hii ya Tanzania? ninyi kufika ilipo Tanzania leo kwenye barabara mnahitaji waingereza wawatawale upya miaka 70 then mpate uhuru wa pili
View attachment 2554273
Stop comparing Diamond vs Akothe, they are far apart like mbingu na Ardhi. Tunarudia tena, Diamond ndiye musicians pekee katika ukanda huu mwenye pesa nyingi, anayetengenrza pesa nyingi kwenye shows zake, mwenye indorsement nyingi na makampuni makubwa ndani na nje ya Afrika, na mwenye makampuni makubwa yenye kuingiza pesa nyingi na kwa haraka, ninyi mnazungumzia kilimo Cha miti ya Eucalyptus, punguzeni ujuha.Yani Akothee anawanyima usingizi to a point Sasa wanaamza kumlinganisha YouTube subscriptions [emoji23][emoji23]. Kitu hawajui siku hizo Akothee YouTube kupata pesa zake, that's a business woman with brain. Anapata pesa alafu anaziinvest mahali. She is now in real estate, building luxury houses then sells to rich people at a higher price, she also has a foundation known as Akothee Foundation.
Toka mpate uhuru mumejenga, Thika, expressway na barabara ya kwenda Ethiopia tu na ndio vimepelekea mpo na deni la trillion 9.5 mambo mengine ni porojo za wanasiasa wenu kuwachota akili sababu wanajua wanatawala viaziSasa mko tu na 7000 km of tarmac in tz while Kenya is at 30,000km with a total road network of 180,000...facts are against your wishful thinking. Do you even know what a policy is.
Ni kweli Google wanatumia vigezo vingi kutoa mgao wa mapato ya matangazo ila huyu Diamond anawapenzi wengi tuu nje ya Afrika, na ameshirikiana na wasanii wengi wakubwa kama Rick Ross hivyo ad revenue yake kubwa kidogo.Views za Afrika 1000 ni less than $1, jaribu kufuatilia jinsi wanavyothaminisha viewers kutoka maeneo ya Dunia.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwa vitu vyote nimeweka huku ni kilimo pekee ndio umeona?🤣🤣😂😂.Stop comparing Diamond vs Akothe, they are far apart like mbingu na Ardhi. Tunarudia tena, Diamond ndiye musicians pekee katika ukanda huu mwenye pesa nyingi, anayetengenrza pesa nyingi kwenye shows zake, mwenye indorsement nyingi na makampuni makubwa ndani na nje ya Afrika, na mwenye makampuni makubwa yenye kuingiza pesa nyingi na kwa haraka, ninyi mnazungumzia kilimo Cha miti ya Eucalyptus, punguzeni ujuha.
Tuambieni Akothe ana kampuni zipi za maana zenye kutengeneza pesa kwa wingi Kila siku, hizo gari 5 za utalii ndio mnaita investment ya maana?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Dongo kundu serikali ya Tanzania ndio ilijenga sindio?😂😂Toka mpate uhuru mumejenga, Thika, expressway na barabara ya kwenda Ethiopia tu na ndio vimepelekea mpo na deni la trillion 9.5 mambo mengine ni porojo za wanasiasa wenu kuwachota akili sababu wanajua wanatawala viazi
Onyesheni ni project gani kubwa ambayo inamuingizia pesa kwasasa, kwasababu muziki wake uneshapitwa na wakati, hapati tena pesa kupitia muziki Wala You tube viewers.Akothee current ongoing project is the construction of Akothee Foundation Academy in Rongo, Migori County. Another source of income.
Wapi wale watetezi wa Diamond? [emoji23][emoji23][emoji23].
View attachment 2554281
View attachment 2554275
View attachment 2554272