Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kweli Google wanatumia vigezo vingi kutoa mgao wa mapato ya matangazo ila huyu Diamond anawapenzi wengi tuu nje ya Afrika, na ameshirikiana na wasanii wengi wakubwa kama Rick Ross hivyo ad revenue yake kubwa kidogo.
Mkuu, zaidi ya 90% ya viewers wa wanamziki wa Afrika ni kutoka Afrika.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Onyesheni ni project gani kubwa ambayo inamuingizia pesa kwasasa, kwasababu muziki wake uneshapitwa na wakati, hapati tena pesa kupitia muziki Wala You tube viewers.

Ninaweza kusema kwa uhakika kwamba project zote za Akothe zinalingana na pesa anayopata Diamond katika " Wasafi beti" pekee.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Diaspora investment alone is $50M that's almost 10 times Diamonds total wealth
Screenshot_20230316-102136_1.jpg
 
Kwa vitu vyote nimeweka huku ni kilimo pekee ndio umeona?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23].

It will Diamond years to reach where Akothee is right now. This is another investment in form of a foundation. Ebu google Morning Start Resort Diani alafu urudi tuongee[emoji23][emoji23]

Akothee Foundation Academy
View attachment 2554308
View attachment 2554304


Ebu google morning star resort Diani alafu urudi[emoji23][emoji23]
View attachment 2554306
Hivi ninyi mnamjua Diamond au mnamsikia, mtu ambaye anawekeza miradi pamoja na Holly wood super stars, ninyi mnataka beach za Diani, mashamba ya miti na shule, are you really serious?.

Mwanamziki pekee ambaye anaweza kumzidi Diamond katika uwekezaji ukanda huu ni Fally Ipupa na Kabda Kofii Olomide kwasababu ameanza zamani.

Wasafi TV na Redio stations pekee, zinatosha kumfanya kuwa mwanamziki tajiri kuwazidi wanamziki wa Kenya wote kwa pamoja.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ninyi mnamjua Diamond au mnamsikia, mtu ambaye anawekeza miradi pamoja na Holly wood super stars, ninyi mnataka beach za Diani, mashamba ya miti na shule, are you really serious?.

Mwanamziki pekee ambaye anaweza kumzidi Diamond katika uwekezaji ukanda huu ni Fally Ipupa na Kabda Kofii Olomide kwasababu ameanza zamani.

Wasafi TV na Redio stations pekee, zinatosha kumfanya kuwa mwanamziki tajiri kuwazidi wanamziki wa Kenya wote kwa pamoja.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hakuna investments Diamond Ako nazo tofauti na Wasafi which is not giving him significant money. Ingekuwa Kuna other investments mngeshaziweka huku, anytime argument ya money ikitokea kati ya Diamond na Akothee vitu huwa mnaonyesha ni TU subscriptions, views, nyumba, wasafi na magari. Nothing outside those five😂😂😂. Zingine zingekuwa mngeshaweka huku mbio mbio
 
Diaspora investment alone is $50M that's almost 10 times Diamonds total wealthView attachment 2554325
I bet, Akothee hafikishi hata $2M katika utajiri wake wote. Anapata wapi pesa?, Jana investment yoyote ya maana, wala hana Endorsement yoyote kutoka kwa makampuni makubwa.

Diamond ana Endorsement za karibia makampuni yote makubwa, kuanzia Pepsi, Airtel, Bank na mengine ndani na nje ya nchi. Huyo Akothe nje ya Kenya nani anamjua?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
I bet, Akothee hafikishi hata $2M katika utajiri wake wote. Anapata wapi pesa?, Jana investment yoyote ya maana, wala hana Endorsement yoyote kutoka kwa makampuni makubwa.

Diamond ana Endorsement za karibia makampuni yote makubwa, kuanzia Pepsi, Airtel, Bank na mengine ndani na nje ya nchi. Huyo Akothe nje ya Kenya nani anamjua?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Umebaki na maneno baadala ya kuweka picha🤣🤣😂🤣. Hizo $2M kwanza ni less than nyumba zake za Kenya pekee. Migori house $800,000, Nairobi house $800,000 and Mombasa house $1.2M. Bado sijaongelea za France na Zurich🤣🤣😂🤣. Sijaongelea real estate business yake pia.
 
Diaspora investment alone is $50M that's almost 10 times Diamonds total wealthView attachment 2554325
Hii article 90% ni uongo, Akothe hana nyumba nje ya Kenya. Diamond Yuko na Nyumba South Afrika tu na Zari ndiye aliyesababisha hiyo Nyumba inunuliwe.

Akothe hana nyumba popote zaidi ya hapo Kenya, weka ushahidi Kama Akothe anayo Nyumba France. Ninyi mumezidi kwa uongo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hii article 90% ni uongo, Akothe hana nyumba nje ya Kenya. Diamond Yuko na Nyumba South Afrika tu na Zari ndiye aliyesababisha hiyo Nyumba inunuliwe.

Akothe hana nyumba popote zaidi ya hapo Kenya, weka ushahidi Kama Akothe anayo Nyumba France. Ninyi mumezidi kwa uongo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Amini unachotaka😂😂😂🤣🤣. Siku Diamond atafika level ya Akothee uniambie 🤣🤣😂
 
Umebaki na maneno baadala ya kuweka picha[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]. Hizo $2M kwanza ni less than nyumba zake za Kenya pekee. Migori house $800,000, Nairobi house $800,000 and Mombasa house $1.2M. Bado sijaongelea za France na Zurich[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]. Sijaongelea real estate business yake pia.
Ninarudia Tena, hakuna musician yeyote katika ukanda huu mwenye Nyumba inayozidi japo $500,000. The richest musician in East Afrika, Diamond Platnumz, Nyumba yake South Afrika alinunua kwa $200,000.

Hapa Tanzania alinunua Hotel, hiyo ni investment, sio residential house, kwa Tshs 1.5B, sawa na $700,000. Lakini Nyumba zake zote alizonazo, hakuna inayozidi $500,000. Wacheni ujinga nyinyi, kupenda sifa.

Akothe hana pesa yoyote ya maana, hana miradi yoyote inayoonekana yenye kumuingizia pesa Kama miradi ya Diamond inavyoonekana, taja pesa anatoa wapi?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hii article 90% ni uongo, Akothe hana nyumba nje ya Kenya. Diamond Yuko na Nyumba South Afrika tu na Zari ndiye aliyesababisha hiyo Nyumba inunuliwe.

Akothe hana nyumba popote zaidi ya hapo Kenya, weka ushahidi Kama Akothe anayo Nyumba France. Ninyi mumezidi kwa uongo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Piga nduru😂😂🤣😂

Screenshot_20230316-231621_1.jpg
 
Hakuna investments Diamond Ako nazo tofauti na Wasafi which is not giving him significant money. Ingekuwa Kuna other investments mngeshaziweka huku, anytime argument ya money ikitokea kati ya Diamond na Akothee vitu huwa mnaonyesha ni TU subscriptions, views, nyumba, wasafi na magari. Nothing outside those five[emoji23][emoji23][emoji23]. Zingine zingekuwa mngeshaweka huku mbio mbio
tanzanian artists think kujipaka salad kwa kifua na magari nne ndio mwisho wa dunia
 
Amini unachotaka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]. Siku Diamond atafika level ya Akothee uniambie [emoji1787][emoji1787][emoji23]
Punguzeni ujinga, mtu hana mradi wowote wa maana zaidi ya kulala na wazungu, mnataka kumlinganisha na na mwanamziki mkubwa Afrika na mfanyabiashara mkubwa Kama Diamond Platnumz, wacheni ujinga ninyi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom