Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Akothee anajulikana na Forbes 😂😂😂
Katikati ya mapaja ni mav.i au?
Akothee tuambie

1678936004077.png
 
Akothee ana miliki nini twende taratibu
Madanga ya Kizungu……si unajua hawa ndugu zetu hawa na wazungu? Sasa hivi kapata danga jipya amelipa jina la kijaluo, analiita Omondi aka Omosh…….huwa yanamzalisha alafu yanasepa, nadhani ndio yanamsaidia kumuweka kwenye Forbes ya mchongo shangazi atambe kidogo, same mchezo Serikali yao inacheza kwenye GDP na data zingine zimewaingia mpaka wananchi wao…….hapa ukimpata Teargas atakwambia yeye ni Mluya tajiri kuliko wote, nenda kwa ground sasa……..au nenda Nairobi mwambie akupeleke kwake ndio utajua hujui😅😅
 
Wakenya wenzako hawamtaji Akotheee Kama miongoni mwa wasanii wakubwa hapo Kenya

Sikiliza hii research iliyofanywa na wakenya wenzako, sitegemei Kama utarudi Tena.


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

🤣🤣🤣 Duh muuni anachukua mkwachanja mrefu hao A list artists wao wote ukiwaweka kwenye sentence moja hawachukui pesa mkwachanja mrefu ka huo.. Halaf wapo hapa kupiga nduru kuhusu akothee.. mind you hiyo pesa Nasibu anapiga ni shows tu ..2021 aliwahi kutaja pesa anayoipata kupitia endorsement tu ambapo mwamba analipwa Tz sh 222 million monthly 👇. Weka kando investment zake, weka kando mauzo ya mziki through digital platforms. The guy has money
 
Back
Top Bottom