Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Unaangalia streams wakati watu wanaongelea pesa. Uko akili Wewe baboon?🤣🤣😂
Wikipedia?😂😂😂🤣🤣🤣👇👇👇👇👇 2022View attachment 2553126
Basi lala😂😂😂🤣.Hakuna data yoyote Forbes wametoa kuhusu wasanii Africa
Hawa wooote, wako nyuma ya Akothee😂😂😂🤣.Akothee youtube 401k 🤣🤣🤣
View attachment 2553128
Diamond youtube 7.55m View attachment 2553129
Alikiba 1.55m
View attachment 2553130
Zuchu 2.54m
View attachment 2553131
Harmonize 3.79m
View attachment 2553132
Marioo 1.01m
View attachment 2553133
Mbosso 2.34m
View attachment 2553134
Rayvanny 4.34mView attachment 2553135
Mambo ya Akothee imewashinda sasa umerudi kwa TV? 😂😂🤣🤣 Tukiunganisha subscribers wa YouTube, Twitter, FB na Instagram uko sure mtawezana na TV za Kenya?😂😂🤣🤣Millard ayo tv 4.5m
View attachment 2553144
Azam tv 2.3m
View attachment 2553145
Wasafi media 3.77m
View attachment 2553150
Hii ndio inayoongoza kenya nzima nimeitafuta KBC hata haionekani kwenye ramani ya dunia 🤣🤣🤣🤣
Citizen tv ke 4.05m
View attachment 2553147
Akothee ana miliki nini twende taratibuMambo ya Akothee imewashinda sasa umerudi kwa TV? 😂😂🤣🤣 Tukiunganisha subscribers wa YouTube, Twitter, FB na Instagram uko sure mtawezana na TV za Kenya?😂😂🤣🤣
Achana nae huyo bro unapoteza muda wako bure hua anapenda kulazmisha vitu ilihali anajua ukweli wakeAkothee ana miliki nini twende taratibu
hebu acha nikujibu tu,,Mambo ya Akothee imewashinda sasa umerudi kwa TV? 😂😂🤣🤣 Tukiunganisha subscribers wa YouTube, Twitter, FB na Instagram uko sure mtawezana na TV za Kenya?😂😂🤣🤣
Make google your friend ama uende ukaulize Forbes😂Akothee ana miliki nini twende taratibu
Nonsense. Cloud Tv with only 16k Twitter followers and 250k FB followers ndio unatupigia nayo kelele hapa?😂😂🤣.hebu acha nikujibu tu,,
yaani wenzio wanaweka ushahidi jinsi media za bongo zilivyo nawafatiliaji wengi wewe umebaki kubwabwaja tu,et tukiunganisha subscribers wa nyenyenyee na nyenyeee mna uhakika mtawenzana?
hebu acha porojo huko,,we unganisha kwa vitendo tuone kama mtatoboa,acha nikusaidie kwa instagram, clouds TV ina wafuasi 5M alafu hiyo yenu kubwa kuliko zote citizen TV ina 1.9m,Millard ayo ana 12M+ sijui nilinganishe na nini huko kwenye nchi ya washamba na wapiga kelele,bado kuna wasafi TV east africa TV, azam Tv,Tv E,etc ikija kwenye radio ndo usisemee aisee,kiufupi tu kwenye hizi mambo zinazohusu habari washindani wetu wa level yetu kwa africa ni NG na SA tu
kama hutaki kojoa ulale tu mrembo
Twitter huku bongo ni mitandao ya watu wazima, Facebook ni kwaajili ya washamba.. majority Tanzanians tuko Instagram na YouTube .. na huko hatuna mpinzani EA and Central AfricaNonsense. Cloud Tv with only 16k Twitter followers and 250k FB followers ndio unatupigia nayo kelele hapa?😂😂🤣.
Choose one TV station tulinganishe na Citizen.
Ni Forbes Gani mkuu.?Make google your friend ama uende ukaulize Forbes😂
Kwenye hio list amboyo diamond alimindi akothee hakuepo basi tuletee mauzo ya mziki, viewers on YouTube na anachaji how much per show tumlinganishe na king platinumOna vile Diamond alilia after kushindwa na Akothee, so wewe unajua zaidi kuliko Diamond mwenye aliona hiyo ranking akajaribu kukosoa Forbes?[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
View attachment 2553091
Sababu kubwa ya Raila kuipa serikali ya Rutto siku 14 kutimiza matakwa yake la sivyo akutane na " mass action" ni kuhusu kufungua "server s" za uchaguzi, yeye bado hakubaliani na kushindwa kwake, mengine ya gharama za maisha yamejitokeza na anayatumia Kama njia ya kuungwa mkono na wakenya wengi masikiniWanaandamana kushinikiza serikali kupunguza garama ya maisha ndo maana wanabeba sufuria, nini ngumu kuelewa??
Mambo ya Akothee imewashinda sasa umerudi kwa TV? [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] Tukiunganisha subscribers wa YouTube, Twitter, FB na Instagram uko sure mtawezana na TV za Kenya?[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
you are using too much fossils to make electricity while Tanzania mostly use locally available natural gas, lakini sababu akili hamna hamuwezi elewaWe import a lot more than Tanzania.
Our oil import bill alone is more than $1 billion more than Tanzania.
Which tells you there's much less economic activity going on in Tanzania.