Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Njombe, Tanzania- Kitulo National Park
Hii picha unaweza usiamini kuwa ni Africa
Tanzania ni pazuri sana
JamiiForums516450851.jpg
 
Niliwahi kutoa hoja Kwa njia ya swali kwamba Kwa nini Kunyaland wasiingie makubaliano na Tanzania tuwe tunawatengea tani kadhaa za mahindi sikujibiwa..

Kumbe Hawa Jamaa Wana wivu sana ,waliona kama watatufaidisha sana.

Hawa hapa wameingia makubaliano na Zambia 🙄🙄
 
Uswazi ndio hakuna mpangomji lakini nyinyi hadi CBD hakuna mpangomji
Sasa cbd itakosaje mpangomji wakati residential areas zimepangwa? Wacha kuadithiwa kuhusu Nairobi ukiwa uswazini hapo gongo la mboto ambapo mpangomji ni neno geni, njoo ushuhudie kwa macho
Fmvc09rWQAATcEI.jpeg
EWzlDDdXQAA70GP.jpeg
IMG_20230216_103503.jpg
IMG_20230216_104000.jpg
IMG_20230216_101930.jpg
 
Back
Top Bottom