ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
wanaamini maneno ya samia CCM kushinda ata world bank na IMFeconomics za jikoni hehe! umeona kenya ikianguka wapi? nyinyi fuata sarakasi tu za politics mkidhani kenya inaanguka lakini baada ya mwaka tutatona matokeo
Hili eneo nataka kulifananisha na Kariakoo japo Kariakoo kuna maghorofa mengi zaidi.In the next three years
EASTLEIGH will be unrecognisable
View attachment 2546281View attachment 2546284View attachment 2546287View attachment 2546289View attachment 2546291View attachment 2546292View attachment 2546294
Kwa maneno mengi mumeshinda bila shakaNilijua tu hii battle Wakundustan itawashinda![]()
Kuna wapuzi wanashangilia kutembekewa na VP.kuna wapuuzi walishangilia kutembelewa na first lady (FLOTUS)!
Sasa unalinganisha VP na First ladyKuna wapuzi wanashangilia kutembekewa na VP.
The point is, Waafrika mnajidhalilisha kushangilia eti mmetembelewa na viongozi wa nchi za kigeni wakati wenu akitembea kule hata kwa TV haonyeshwi.
Naona siku hizi umekuwa mpole sana. Unachotakiwa ni kuungana na Tanzania tu kwa sasa.The point is, Waafrika mnajidhalilisha kushangilia eti mmetembelewa na viongozi wa nchi za kigeni wakati wenu akitembea kule hata kwa TV haonyeshwi.
Kamwe Tanzania hatushabikii huo upumbavu. Ninyi wakenya ndio wenye huo ujinga, yaani kiongozi wa wazungu akitembelea Kenya, utashangaa jinsi wakenya wanavyojisikia na kujisifia.The point is, Waafrika mnajidhalilisha kushangilia eti mmetembelewa na viongozi wa nchi za kigeni wakati wenu akitembea kule hata kwa TV haonyeshwi.
Saidieni hii nchi 🤣🤣🤣🤣Kamwe Tanzania hatushabikii huo upumbavu. Ninyi wakenya ndio wenye huo ujinga, yaani kiongozi wa wazungu akitembelea Kenya, utashangaa jinsi wakenya wanavyojisikia na kujisifia.
Hivi Unakumbuka jinsi wakenya walivyolalamika pale Obama alipoanza kuitembelea Tanzania kwanza kabla ya Kenya?, Ninyi ni watu wa hovyo sana, Yani rais wa nchi nyengine mnampangia ratiba ya nchi gani aanze kuitembelea, stupid.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app