Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alaf bandits wanawatoa uharo 🤣🤣🤣
Wewe jamaa wa kuongelea vya wenyewe badala ya kupost vya kwenu 😂
What are some of your elite special forces
20230309_082500.jpg
 
Wale mlioanzisha shule hua mnasession za kupanda miti,kukata vichaka na kulima uwanja nk...alafu kuna wale wanakuja tu kumwagilia maua na kuingia darasani...
JPM alianzia pagumu sana Huyu sahivi anamwagilia Maua tu

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Very true na ndio aliebadilisha system zote za nchi hii ndio maana unaona leo kila jambo linaenda kwa speed sawa sawiya

Ukiangalia sera ya madini leo tanzania inaneemeka na madini na utoroshaji umepungua sana, ukija sekta ya utali ilibadilika na wakaja na mbinu mpya na pia ikichangiwa na ununuzi wa ndege za airtanzania, ukija kwenye horticulture sera zilibadilishwa na ndio maana unaona jirani ana haha sana juu ya zao la avocado tulitoka nafas ya 10 mpaka ya 2 just imagine within a year

Kuna mambo mengi sana hayaelezeki na hatuwez kuyamaliza
 
Wewe jamaa wa kuongelea vya wenyewe badala ya kupost vya kwenu 😂
What are some of your elite special forces
View attachment 2544259
Military bro is something secrete sio kila kitu kinaoneshwa ww hujiulizi kwann north korea ni tishio kwa dunia its because of internal secrets na tanzania ni nchi ambayo inaficha sana siri zake hasa kwenye military

Sio nyinyi kazi yenu kuonesha muna jeshi imara lakini bandits wanawakamu uharo na ni ndani ya nchi yenu 🤣🤣 huyo alshabab ndio kabisa hata mulishachoka mukaomba muondoke somalia
 
Very true na ndio aliebadilisha system zote za nchi hii ndio maana unaona leo kila jambo linaenda kwa speed sawa sawiya

Ukiangalia sera ya madini leo tanzania inaneemeka na madini na utoroshaji umepungua sana, ukija sekta ya utali ilibadilika na wakaja na mbinu mpya na pia ikichangiwa na ununuzi wa ndege za airtanzania, ukija kwenye horticulture sera zilibadilishwa na ndio maana unaona jirani ana haha sana juu ya zao la avocado tulitoka nafas ya 10 mpaka ya 2 just imagine within a year

Kuna mambo mengi sana hayaelezeki na hatuwez kuyamaliza
Ni kuongeza speed tu sahivi

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Military bro is something secrete sio kila kitu kinaoneshwa ww hujiulizi kwann north korea ni tishio kwa dunia its because of internal secrets na tanzania ni nchi ambayo inaficha sana siri zake hasa kwenye military

Sio nyinyi kazi yenu kuonesha muna jeshi imara lakini bandits wanawakamu uharo na ni ndani ya nchi yenu 🤣🤣 huyo alshabab ndio kabisa hata mulishachoka mukaomba muondoke somalia
WAIT WHAT??????
SO WHEN IT COMES TO VITU HAMNA INAKUWA SECRET 🤣🤣🤣
CRAZIEST ISH I SEEN ALL WEEK 😄😁😁
 
The amount of DESPARATION From the south is CRAZY!
Yaani you are all over Kenyan news social media, mainstream media etc...HAMNA AMANI? 🤣 🤣
TULIENI BAANA!
Watanzania hatuna time na kenya but tunachokufanya ni kuwashtua mujue kua dunua imefika mbele sana kuliko fikra zenu 🤣🤣🤣 yani zile tabia za kujisifia uongo muache manake mukiendelea kesho mutashtuka uganda na burundi wanawapumulia kisogoni
 
Gas Ina uhakika wa pesa,umeme ndio mpaka kuwe na shortage na kwenye umeme nimeona wako na plan za kuongeza geothermal so soko la umeme sio sustainable..

Hadi Zim kule wanasema mto Zambezi ule una potential ya kuzalisha umeme megawatt 180,000 na wameanza Mpango wa Ujenzi wa bwawa jingine ukiacha Kariba Kwa hiyo in long run umeme hautakuwa na soko la uhakika.
Kenya umeme uko bei ghali sana tutawapa umeme kwa bei nafuu sana hawatakuwa na option ya kufanya investment za energy wakati cheap energy is guaranteed.

Ukiwauzia gas usahau kuwauzia fertiliser na other gas related products maana gas inatumika kama feedstock kutengeneza products nyingi including kuzalisha umeme maana watazalisha wao kwa kutumia hiyo gas we need to strategically choose what we can share with them.
 
Since TZ 'is now financially stable', can they come for their beggars who are in every corner of our streets. They make tourist visiting our country think Kenya is a begging nation
Yaani tajiri anakwenda kuomba maskini amwekee guarantee apate bidhaa. Only in Kenya vituko kedekede
 
Wewe jamaa wa kuongelea vya wenyewe badala ya kupost vya kwenu
What are some of your elite special forces
View attachment 2544259
KDF failed in
1)South Sudan peace keeping mission, walifurushwa na Ban kin Mon

2)Eastern DRC. wananchi na rais wa DRC wanataka KDF waondolewe kwasababu hawana uwezo

3)Samburu na Turkana, wananchi wa maeneo hayo wanataka waruhusiwe kujilinda wenyewe baada ya KDF kushindwa kuwalinda.

4)Somalia; KDF imeshindwa kuzuia Alshabaab kuishambilia Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Kenya umeme uko bei ghali sana tutawapa umeme kwa bei nafuu sana hawatakuwa na option ya kufanya investment za energy wakati cheap energy is guaranteed.

Ukiwauzia gas usahau kuwauzia fertiliser na other gas related products maana gas inatumika kama feedstock kutengeneza products nyingi including kuzalisha umeme maana watazalisha wao kwa kutumia hiyo gas we need to strategically choose what we can share with them.
Mkuu, bei ya gas kwa ajili ya kuzalishia "Fertilizer" ni tofauti na bei ya gas kwa matumizi mengine. Hivi Sasa mazungumzo yanaendelea kati ya wawekezaji wa kiwanda Cha mbolea na TPDC Ili wauziwe gas kwa bei ya chini kabla ya wao kwenda kuchukua mkopo.

Kwa bei ya Sasa ya gas, mbolea itakayotengenezwa itakua ghali Sana. Kenya hawawezi kutegemea gas ya Tanzania kwa kuzalishia mbolea, bei yake itaifanya mbolea watakayozalisha kutouzika sokoni.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Na hili hufanya hvi kwa lengo la kuichafua tanzania kimataifa ilo wao wasionekane kama wanapika statistics za umaskini sasa we jiulize ushawah sikia wanarudishwa kwao
Watakufa na tai zao shingoni..
 
Back
Top Bottom