Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwanini uchumi wa Kenya unaanguka kwa kasi kubwa namna hii? Hata hivyo tupeane tafu sisi wote ni watu wa jamii moja.
Ni matokeo ya yale waliokua wakidanganya dunia kua wana GDP kubwa ili kuonekana kwa watu kumbe ndani ya pazia wana hali mbaya sana

Nitakupa mfano mmoja mdogo tu
Kq inaendesha hasara ya mabillion ya pesa over 10 yrs na hasara ile inatokana zaidi na leasing aircrafts cha ajabu ni kwamba pamoja wanaendesha hasara still inabidi watafute pesa za mkopo kulipa madeni ya kq ya leasing deals kwa takriban zaidi ya miaka 10 sasa hebu chukua hesabu ya haraka haraka kua watakua wamekopa pesa ngapi kulipa madeni yasioweza kurudisha pesa za mkopo ambayo itabidi tena watumie pesa za maendeleo kulipa madeni au wachukue tena loan from peter to pay juma 🤣🤣
 
Ni matokeo ya yale waliokua wakidanganya dunia kua wana GDP kubwa ili kuonekana kwa watu kumbe ndani ya pazia wana hali mbaya sana

Nitakupa mfano mmoja mdogo tu
Kq inaendesha hasara ya mabillion ya pesa over 10 yrs na hasara ile inatokana zaidi na leasing aircrafts cha ajabu ni kwamba pamoja wanaendesha hasara still inabidi watafute pesa za mkopo kulipa madeni ya kq ya leasing deals kwa takriban zaidi ya miaka 10 sasa hebu chukua hesabu ya haraka haraka kua watakua wamekopa pesa ngapi kulipa madeni yasioweza kurudisha pesa za mkopo ambayo itabidi tena watumie pesa za maendeleo kulipa madeni au wachukue tena loan from peter to pay juma
Daah inasikitisha sana kwakweli, ila tusiwacheke tuwasaidie.
 
Surely this is madness..
IMG_2636.jpg
 
Kwanini uchumi wa Kenya unaanguka kwa kasi kubwa namna hii? Hata hivyo tupeane tafu sisi wote ni watu wa jamii moja.
Wakenya walikua wanataka tufe wote tuishe kipindi cha covid walikua wanafake video za mazishi tuonekane Watanzania tunakufa kisa hakukuwa na lock down na curfew, huwajui wakenya wewe
 
Back
Top Bottom