Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Hizi zipo za kila aina, na wachangiaji ni wachache sana, sijui kwanini 😂😂 😂
Samia katupa jiwe gizani. Kuna mtu limempata. Namsikia analia yallah!
Hizi zipo za kila aina, na wachangiaji ni wachache sana, sijui kwanini 😂😂 😂
Aaaaaah,nailed it brother!Ndio maana kulikuwa na deliberate move ya kumsifia Samia kwenye Birthday yake kumbe ilikuwa ni strategy ya kupitisha ‘bakuli’? 😅😅
I sensed that anyways, ukiona hawa jamaa wanakusifia jua wanataka kukushika matako, stuka haraka sana na kimbia😂😂
Duh wakati huyu anaingia madarakani mlikua mmemuhype sana sielewi kwanini? na mlijua kabisa atakua na miujiza ya kuwaondolea madeni na kuongeza mauzo ya nje?
Mna deni la trillion 9.3 kes lakini nikikuambia nioneshe mapesa yote haya yameenda wapi utanionesha lamu na SGR kumbe hamjui serikali yenu ilikua inakopa ili kulipa mishahara
mmedanganywa ninyi ni most industrialized nation in EA lakini ndio mnaongoza importation of petty goods, ndio hivyo hivyo mnavyodanganywa statistics nyingi kama GDP