ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,261
Kunyaland suala la Madaraja tuachieni Tanzania..
Madaraja ya Tarura huko Vijijini
Madaraja ya Tarura huko Vijijini
Hvi munataka wakenya wakule nini sasa au wakule watu 🤣🤣🤣🤣🤣
Aiseee!Kunyaland suala la Madaraja tiachieni Tanzania..
Madaraja ya Tarura huko Vijijini View attachment 2543527View attachment 2543528View attachment 2543529View attachment 2543530View attachment 2543531




TARURA 


Samaki nao wamekimbia ziwani kwasababu ya njaa 🤣🤣🤣Samaki tena
Ukiona mtu ana mbwembwe ujue huyo ni zero brain zaidi ya kujitutumua hamna kitu atafanya..Duh wakati huyu anaingia madarakani mlikua mmemuhype sana sielewi kwanini? na mlijua kabisa atakua na miujiza ya kuwaondolea madeni na kuongeza mauzo ya nje?
Mna deni la trillion 9.3 kes lakini nikikuambia nioneshe mapesa yote haya yameenda wapi utanionesha lamu na SGR kumbe hamjui serikali yenu ilikua inakopa ili kulipa mishahara
mmedanganywa ninyi ni most industrialized nation in EA lakini ndio mnaongoza importation of petty goods, ndio hivyo hivyo mnavyodanganywa statistics nyingi kama GDP
Usiwafanye waKundustan wapate matumbo ya kuhara!Nyoka mbona ana rangi za Jamuhuri.View attachment 2543313
Waziri wao anasema dollar shortage is out of control Sasa hii si ni balaa? Wakicheza vibaya pesa Yao itaporomoka na njia pekee ya haraka ni kupigia magoti imf nk Ili wapate mkopo wa emergency 🤣🤣Watakuwa ni hawa jamaa zetu wa Gmo