Marcelly
JF-Expert Member
- May 23, 2020
- 3,152
- 9,571
Unajua hawa kundustan hawaamini kinachoendelea Tanzania vimeshushwa au vimeanza na hatua kwa hatua
Na hii ni dalili kua hawa jamaa mawazo yao mengi walikua wakifkiri dunia haizunguki yani mawazo yao wanahisi tanzania au uganda ni zile za 90s 😆😆 yani hawana exposure ya kujua dunia iko wapi na imefika wap yote ni kwasababu wanadanganywa na wanasiasa ambao wanajitajirisha
