Utawaskia china hana technology🤣🤣🤣
Kuna yule wenu alisema kabisa tuwafukuze Watanzania Nairobi, alafu bado unataka kutufundisha nani anamchukia nani?Hii wanapita wima ni kama hawajaiona. if you listen carefully, you'll realize the tone of that politician. So full of hatred towards Kenya
Umesema ukweli mkuu, hawa jamaa huwa wanakurupuka tu, ndio sababu miradi mingi inaishia njiani na Ile inayokamilika inabaki kuwa "white elephants"Kenya ni nchi ya hovyo sana hawana secret service? kabla ya kufanya intervention ya aina yoyote walitakiwa wawe na taarifa zote za bandits na hapo ni kutuma undercovers wa kutosha kukusanya information, TISS ipo mpaka kwa wamaasai, wakulima, bodaboda, wauza mboga, Tanzania imenufaika pakubwa sana na security formations za kisoviet ndio maana Nyerere alikua anashtukia coup d'etat hata kabla hawajaanza mipango.
Jaribu kuulizia sababu iliyowafanya kufikia haya maamuziEti Wana jamvi .. nini maoni yenu kuhusu hatua hii iliyofikiwa na serikali.?.
Kuna mang'ombe hapa hutafta tu attention ndo watu waanze kujibizana naoKuna ng'ombe alisema Nairobi hamna base haina red soil.![]()
Hii flyover ni mbayaThis flyover is very beautifulView attachment 2539395
Kabisa, the same company wanjenga ile interchange ya Junction Mall, Ngong Road. Najua hawata disappoint, judging by this.This flyover is very beautifulView attachment 2539395