Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20230306_110209.jpg
20230306_110207.jpg
20230306_110211.jpg
20230306_110214.jpg
20230306_110445.jpg
20230306_110448.jpg
20230306_110454.jpg
20230306_110451.jpg
 
Kwavile nimewaumbua sasa umekua mkali 🤣🤣🤣🤣🤣 tanzania ina millionares wengi sawa na uchukue na nchi zote za esta africa combined na bado hamutoboi na huwez sikia hata tunaongea

Ww huyo rostam ulikua humjui na hajulikani lakini kaja kuwashangaza kenya toka mumepata uhuru hamujawah kukutana na kitu kizito kama hicho 🤣🤣🤣🤣
Hawajui Rostam ndo alikuwa bilionea wa kwanza Tz.
 
Hii wanapita wima ni kama hawajaiona. if you listen carefully, you'll realize the tone of that politician. So full of hatred towards Kenya
We don't have time na vichwa maji hao! Why waste time listening to a person who think GDP measures the success of the economy!

Kichwa maji huyo
 
We don't have time na vichwa maji hao! Why waste time listening to a person who think GDP measures the success of the economy!

Kichwa maji huyo
Ameingelea hadi kuhusu meli yenu kutengenezwa Kenya bongolala. Mbona unajifanya kiziwi?
 

Kenya ni nchi ya hovyo sana hawana secret service? kabla ya kufanya intervention ya aina yoyote walitakiwa wawe na taarifa zote za bandits na hapo ni kutuma undercovers wa kutosha kukusanya information, TISS ipo mpaka kwa wamaasai, wakulima, bodaboda, wauza mboga, Tanzania imenufaika pakubwa sana na security formations za kisoviet ndio maana Nyerere alikua anashtukia coup d'etat hata kabla hawajaanza mipango.
 
Back
Top Bottom