Maswsli 3
1)Kuhusu vijana waliochanjwa kuwa na tatizo la myocarditis, hiyo haijawathibitishwa kuwa na uhusiano wote na chanjo ya Corona, utafiti zaidi unahitajika, ikithibitika mamlaka husika(WHO) itatoa muongozo nini Cha kufanya.
2)Kutokuwepo kwa chanjo ya HIV hadi leo. Kama ambavyo bado hatujapata chanjo za magonjwa mengi tu, Malaria, Cancer, Ebola, ukoma na mengine mengi, bado hatujapata tamaa, kazi inaendelea.
3)Kuhusu (UK) na US na baadhi ya mataifa kukataa chanjo za mRNA. Kwanza Sina uhakika Kama unalosema ni kweli. Kama ni kweli basi Kila nchi Ina Sheria na taratibu zake. UK na USA wameruhusu ushoga, mbona sisi hatuwaigi?
Mkuu, hatupaswi kuiga UK au nchi yoyote katika mambo yanayohusu afya, tunapaswa kufuatia ushahidi wa kisayansi unaothibitishwa na WHO tu.