Ni juzi tu mlikua mnashangilia Google, Facebook, Nala ambazo zote ni digital zimefungua physical offices kunyalandDunia sahii iko digital, watu wanawork remotely bado mnataka mtu aweke offisi kwa ground. 🤣 🤣 🤣 🤣 Wabongo wacheni ushamba.
Aibu hii jamani 🤣🤣🤣🤣 chakula cha msaada kimeibiwa kaah🙌🙌 na walioiba ni politician wanawauzia tena wafanyabiashara wawauzie tena wakenya wanaonuka njaa na shida
Hiyo office inayotaka kuwekwa Tz ni kubwa sana.Wao ndio huchagua kuweka hizo offices Kenya hua hatuwalazimishi kama nyinyi, mko desperate sana. Don't forget most of the offices in Kenya are regional offices, serving the whole continent or regions.
Aawapii najua si kweli mme-cook stats!Enda uskie vibaya na huko.
Kuna kichaa mmoja alikua anasema wakikuyu ndio kabila tajiri Africa yet naona ndio wa kwanza kuunga line ya msosi kuliko Turkana na bado chakula wameiba [emoji23][emoji23][emoji23]
Tanzania is very unique country, we are smarter than many countries in Africa, we showed the way during COVID-19 pandemic by not closing our country while the whole world was closed down, ultimately the world understood what we were doing and joined us. Tanzania is the brain of Africa.Dunia sahii iko digital, watu wanawork remotely bado mnataka mtu aweke offisi kwa ground. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Wabongo wacheni ushamba.
Hii nchi imelaaniwa hiiAibu hii jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] chakula cha msaada kimeibiwa kaah[emoji119][emoji119] na walioiba ni politician wanawauzia tena wafanyabiashara wawauzie tena wakenya wanaonuka njaa na shida
Hawa wapuuzi wa hapa wao muhimu ni Malls na Skyscrapers za wageni hapo Nairobi, hivyo kwao ndio vigezo vya uchumi mkubwa.Gunia 3 ndio zimemobilize hii mob yote aisee [emoji23][emoji23][emoji23]
Sheria za nchi, servers zako lazima ziwe hapa! Kama starlink hana mpango wa kuweka servers hapa asahau!Tegeni masikio hapa wakulungwa ishu ya serikal na starlink