Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu hao wakenya ni watu wa kuparamia vitu wanaona NY London kuna China town na wao wanakuja na China Square maana kamji bado kadogo.

Tanzania China logistics centre modus operandi yake iko tofauti na hiyo china Square. Hapo kutakuwa na pavilions for chinese companies ambazo Tanzanians na watu wa mataifa ya jirani watakuwa wanafika hapo kuagiza bidhaa zao bila kwenda China. Kwa utaratibu huu una save cost ya usafiri na accommodation pia you get a genuine supplier of quality products next to your door step.
Punguza kuropokwa, China Square hata haiko ndani ya China Town in Nairobi. China Town inapatikana Kilimani while China Square ni mall ndani ya Kenyatta University.
 
Sgr inapita Burundi kwenda congo rwanda haiendi
Mkuu, kote inaenda Rwanda na Burundi, sema ni matawi tofauti Sana. Tawi la Burundi ndio litafika DRC, Hilo ni tawi kubwa na muhimu Sana kwa Tanzania. Tawi la Rwanda linaanzia Osaka na kuishia Kigali.

Kutoka Isaka hadi Rusumo ni zaidi ya 360Km ndani ya Tanzania, kwa mujibu wa mikataba, hili ni jukumu la Tanzania kujenga hicho kipande, kwasasa serikali ya Tanzania inatoa kipaumbele kwa kipande Cha Burundi Ili kufikia DRC haraka, lakini maandalizi ya kwenda Rwanda yanaendelea
 
Maswsli 3

1)Kuhusu vijana waliochanjwa kuwa na tatizo la myocarditis, hiyo haijawathibitishwa kuwa na uhusiano wote na chanjo ya Corona, utafiti zaidi unahitajika, ikithibitika mamlaka husika(WHO) itatoa muongozo nini Cha kufanya.

2)Kutokuwepo kwa chanjo ya HIV hadi leo. Kama ambavyo bado hatujapata chanjo za magonjwa
hatujapata chanjo za magonjwa mengi tu, Malaria, Cancer, Ebola, ukoma na mengine mengi, bado hatujapata tamaa, kazi inaendelea.

3)Kuhusu (UK) na US na baadhi ya mataifa kukataa chanjo za mRNA. Kwanza Sina uhakika Kama unalosema ni kweli. Kama ni kweli basi Kila nchi Ina Sheria na taratibu zake. UK na USA wameruhusu ushoga, mbona sisi hatuwaigi?

Mkuu, hatupaswi kuiga UK au
nchi yoyote katika mambo yanayohusu afya, tunapaswa kufuata ushahidi wa kisayansi unaothibitishwa na WHO tu.

Chamoto
 
[emoji7][emoji7]
IMG_121607_1323.jpg
IMG_121541_1323.jpg
IMG_121558_1323.jpg
 
Punguza kuropokwa, China Square hata haiko ndani ya China Town in Nairobi. China Town inapatikana Kilimani while China Square ni mall ndani ya Kenyatta University.
At least umekubali kuwa nyie ni igaiga wakubwa hapa Africa hata ushoga mnaupitisha kisa ni western style na kwa mentality yenu mnaona kama ni development.
 
Mkuu, kote inaenda Rwanda na Burundi, sema ni matawi tofauti Sana. Tawi la Burundi ndio litafika DRC, Hilo ni tawi kubwa na muhimu Sana kwa Tanzania. Tawi la Rwanda linaanzia Osaka na kuishia Kigali.

Kutoka Isaka hadi Rusumo ni zaidi ya 360Km ndani ya Tanzania, kwa mujibu wa mikataba, hili ni jukumu la Tanzania kujenga hicho kipande, kwasasa serikali ya Tanzania inatoa kipaumbele kwa kipande Cha Burundi Ili kufikia DRC haraka, lakini maandalizi ya kwenda Rwanda yanaendelea
Hiko kipande cha kutoka Uvinza kuelekea Gitenga Burundi tayari kuna funding ya private investor mwenyewe mines zake Burundi na RDC anatoa mpunga na sisi tuna reciprocate kwa mkataba wa kubeba cargo yake itakayosafirishwa hadi DSM port.
 
Back
Top Bottom