joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Choice variable, Sasa nadhani unaanza kuwajua wakenya walivyo
Khaa... Yaani unataka waufunge uzi wetu. We fuatilia nyuzi unazozipenda. Hii thread Ina wenyewe na wewe sio mmojawapo. Hebu tuache tu-enjoy sisiHuu uzi ndio the most useless kwa JF yote. Mimi ni Mkenya na napendaga sana nyuzi za humu, lakini huu wa Dar vs Nrb huwa unanuidhi. Hauna maana. Unawapa wendawazimu kutoka nchi zote mbili platform ya kueneza chuki ya kijinga. Itakuwa bora admin wa huku aufunge. Delete permanently!


Hapa Sasa umejibu swali la Msingi kumbe waliongeza kodiKodi ya imported Milk haishikiki, Azam mwenyewe yalimshinda coz alikuwa ana import unga. Ukiona maziwa kwenye shelves supermarkets za bongo jua ni pure kabisa so hakuna foreign firm yenye ubavu wa kuleta maziwa alafu wacompete na locals. Hapa JPM alicheza safi sana, haiwezekani tuna mifugo namba mbili Afrika alafu maziwa tunaimport, ni upumbavu.
Mods mataahira kama huyu msiwenawachekea..Sodhani kama uko sawa kichwani. Yaani upo-upo tu.
Soma alichoandika mwenzio hapa chini. Hivi ndio mtu mwenye akili timam huwaza na kufikiri.
Kwamba Mwamba sura yake imekaa kidili diliKungekua na option ya "romove" ningeshamremove akanywe kahawa uko na village dwellers wenzake hapo TandahimbaView attachment 2532117muone kwanza ananuka Chitohori .. Mtu wa dili huyu
![]()








😆😆😆 ndivo ulidanganywa hvoNa vile watu wa A-town wanapenda maziwa ya brookside
Kwa utalii gani kenya au hujui swala la utalii tulishamalizana na nyie over 4 good yrsWatch out tunawa overtake very soon
Ww kapime mkojo 😆😆 huenda una UTI suguYour yogurts are very bogus as a yoghurt fan , hamna varieties kama mkona varieties niwekee picha hapa si hizo ma asas tasteless hapo
Wewe sio Mtanzania, hata Kiswahili hujui vizuri. Yaani una Kiswahili cha kuunga-unga.Mods mataahira kama huyu msiwenawachekea..
Hawana hata hiyo inayoitwa common sense.
Eti hakuna kampuni ndogo kwani mm siijui kenya au?? Au unafkiri unamdanganya mtu kutoka ghana na mali???😆😆😆😆Wee jama ukona shida ya kiakili bana, hakuna kampuni ndogo hapo
Hii ni nn sasa kama sio uchafu 😆😆😆Beautiful nakuru with greenery everywhereView attachment 2532604View attachment 2532605View attachment 2532606View attachment 2532607View attachment 2532608View attachment 2532609View attachment 2532610View attachment 2532612View attachment 2532614View attachment 2532616View attachment 2532617View attachment 2532618View attachment 2532619View attachment 2532620View attachment 2532622View attachment 2532623

Yes atuache wendawazimu tupeane dawa za vichaa vyetu, mtu una kisonono unafuata nini kwenye ward ya vichaa?![]()



Tz inakaribia 4bn huna habari?Watch out tunawa overtake very soon
Kabla hata ya huu uzi mlikuwa na chuki na Watz miaka mingi sn.Huu uzi ndio the most useless kwa JF yote. Mimi ni Mkenya na napendaga sana nyuzi za humu, lakini huu wa Dar vs Nrb huwa unanuidhi. Hauna maana. Unawapa wendawazimu kutoka nchi zote mbili platform ya kueneza chuki ya kijinga. Itakuwa bora admin wa huku aufunge. Delete permanently!
Chuki na wivu.Kabla hata ya huu uzi mlikuwa na chuki na Watz miaka mingi sn.