Inakuwa imported toka nchi nyingine.Hivi huyu jamaa hiyo gesi anatoa wapi
Wewe unaishi mji gani kwanza? Brookside sijaiona huku tz huu ni mwaka wa 15 sasa.Nimewahi ni Moja ya kampuni kubwa niliosahau pale kwenye list yangu but ngumu sana kukuta bidhaa za Tanga fresh Songea au hata Tabora..
Tunarudia kule kule kama ni vikampuni hapa Bongo vingi sana ila ni local.
Kwa experience yangu ya Supermarket bidhaa inayotoka haraka ya maziwa ni Azam Milk ,Brookside za Kunyaland ndio wanafuata hao wengine mwisho mwisho huko![]()
Ushindani umeondoa maziwa ya Kenya sokoni. Gharama za uzalishaji logistics na kodi zilifanya maziwa ya Kenya kuwa ghali na kushindwa ku compete na local products.Sio wamezuia kwa sasa miaka 5 nyuma maziwa yote ya kenya yalitoweka kutokana na ushindani wa kampuni za kitanzania ww unaongea nn hapa ikiwa hata hujui dunia imefika wapi? Kampuni za maziwa tanzania zishakua nyingi kias kwamba hakuna nafas ya kampuni za kenya kuuza kwenye soko hili
The only project Expressway imeisha mkuuNaona Sasa kwenye hii thread picha zimepumzika![]()




Kaka watu wanakosa maono huku wakiongozwa na chuki kwasababu aliyejenga mradi si kipenzi chao.Kuna mjinga mmoja alisema SGR haitarudisha pesa, sasa jiulize meli yote hiyo mzigo wote unaenda DRC na bado huo ni mzigo mdogo tu katika shehena zake, tani 6900 ni trips 276 za malori biashara nzuri kwa haulers lakini SGR ikikamilika mzigo wote huo utaenda DRC kwa siku 1 na bado nafasi ya Tani 3100 inabaki
Wanaobeba mkaa na motorbike wamepigwa stop kwa sasa...vibali cua kubeba mkaa ni magari tu sasahiviWale wa Tanzania kutumia sana gas Kuna video yenu hapa
Sasa ukikosa msosi duniani umekuja kufanya nini?Hivi asiyekuwa na kisimbusi na asiye na chakula nani maskini zaidi hapo embu nisaidieni uelewa kidogo.





Kwa hiyo hao daily news wametunga stori ya uongo au?Wanaobeba mkaa na motorbike wamepigwa stop kwa sasa...vibali cua kubeba mkaa ni magari tu sasahivi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Eti mtu wa diliKungekua na option ya "romove" ningeshamremove akanywe kahawa uko na village dwellers wenzake hapo TandahimbaView attachment 2532117muone kwanza ananuka Chitohori .. Mtu wa dili huyu
![]()





Wachovu,wavivu na failures ndio hutumia hizo Kauli za kipuuzi eti mtu wa dili..Eti mtu wa dili
Mtu wa dili ukimtibulia michongo yake utegemee ugomvi naye hata ufanye zuri lipi hawezi kulikubali anakuwa anakumbuka ulivyomuharibia michongo yake.
Umewahi kuona mwizi aliyeibiwa kitu alichoiba ambavyo huwa analalamika kwa simanzi kuliko hata yule mwenye kitu chake halali kilichoibwa?
Jana na leo ni siku mbili tofauti kijanaKwa hiyo hao daily news wametunga stori ya uongo au?
Kungekua na option ya "romove" ningeshamremove akanywe kahawa uko na village dwellers wenzake hapo TandahimbaView attachment 2532117muone kwanza ananuka Chitohori .. Mtu wa dili huyu
![]()

dah