Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww unataka kuniambia apart from giant companies in kenya kama brookside, KCC, na kampuni hzi kuna kampuni gani ww unaniletea kampuni za vichochoroni unaita kampuni try to be serious
Milk products kenya huwezani nazo ichogal huku si tanga fresh, hujawaii skia Daima, delamere, ilara, bio foods, jolly fresh, dairyland, lyons maid,cream bell,tuzo, fresha,kinangop dairy,eldoville, laki laki hujui kitu ni wivu na mdomo umejaza kam mswahili tu
 
Huwa siongei vitu ambavyo Sina uhakika navyo.(26.3 + 63.7=90

View attachment 2531682
LPG usage in Tanzania vs Kenya

Screenshot_20230226-122838_Opera.jpg
Screenshot_20230226-122810_Opera.jpg
 
Ukiacha mbali cable amabyo anadai hazizidi kaya laki 8 siku hzi watu wengi wanatumia apple tv na aina zingine kama hzo kuna visimbuzi vya canal vya ufaransa watu wengi sana wanatumia kwa ajili ya soka la uingireza na ulaya kwa ujumla hilo yeye halijui 😆😆😆😆 ndio maanaa unaambiwa siku zote ukiwa hujui jambo uliza kwanza

Hehe eti umeona kwenye list kwan canal ni kampuni imesajiliwa tanzania mpaka TRCA wawe na record 😆😆😆😆 canal decoder zimejaa kibao kwa ajili ya mipira ya ulaya
Na hapo bado arabsat dish hata watu kibao wanazo
View attachment 2531809View attachment 2531810
Kaka huyo jamaa kwao ni mtwara na anaishi huko huko porini hajui chochote kinachoendelea yupo yupo tu .. huyo ni shamba boi

Atatueleza nini sisi watoto wa mjini wenye exposure ya majiji yote makuu hapa Tz pamoja na huko porini kwao.?

I think ni bora tumtemege tu

Inawezekana hajui kama daladala vile (vipanya) haviruhusiwi kufika mjini
Au
Butcheries zote mjini zote zinakata nyama kwa mashine
 
Idadi ya watu na visimbuzi inahusiana Kwa sababu Utajua idadi ya Kaya vs idadi ya visimbuzi.

Kwa wastani Kila kaya Ina watu 4.2 hivi ambako Kuna kaya kama mil.15 hivi ambapo Kati ya hizo kaya ni watu chini ya mil.4 ndio wanamiliki visimbuzi.

Mpaka hapo unapata unajua kiashiria Cha kiwango Cha umaskini.
Hivi asiyekuwa na kisimbusi na asiye na chakula nani maskini zaidi hapo embu nisaidieni uelewa kidogo.
 
Kampuni nyingi ni ndogo ndogo tuu,kubwa ni kama Dar fresh,Azam diary ,Asas diary ila Kuna utitiri wa vikampuni..

Supermarkets nyingi za zimejaa maziwa ya kampuni za Wakunya Kwa sababu za kwetu hazina uwezo wa ku feed soko letu.
🤣🤣🤣🤣 We jamaa kidogo nikutukane tusi kubwa bahati yako humu kuna sheria.. unaijua Tanga fresh wewe.?
 
Nahisi masuala ya biashara ww ni zero kabisa ww unataka kampuni kubwa kiasi gani
Kampuni nyingi ni ndogo ndogo tuu,kubwa ni kama Dar fresh,Azam diary ,Asas diary ila Kuna utitiri wa vikampuni..

Supermarkets nyingi za zimejaa maziwa ya kampuni za Wakunya Kwa sababu za kwetu hazina uwezo wa ku feed soko letu.
 
Mm nipo Tanga nafanya shughuli zangu za kiuchumi huku asilimia kubwa watu wanatumia maziwa ya Tanga fresh japo yapo na ya asasi
Kaka huyo jamaa kwao ni mtwara na anaishi huko huko porini hajui chochote kinachoendelea yupo yupo tu .. huyo ni shamba boi

Atatueleza nini sisi watoto wa mjini wenye exposure ya majiji yote makuu hapa Tz pamoja na huko porini kwao.?

I think ni bora tumtemege tu

Inawezekana hajui kama daladala vile (vipanya) haviruhusiwi kufika mjini
Au
Butcheries zote mjini zote zinakata nyama kwa mashine
 
Back
Top Bottom