Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A
Moja ya Rais Zombie kuwahi kuwa nae Tanzania. Sidhani kama 2025 tutarudi na huyu serial failure. Dizain wanamjaza ujinga wamkamue 2025.

She does not have the necessarily mental capacity for intellectual independence, so she relies heavily on advice and this is a big mistake for a leader.

Magufuli used to say this, "No one tells me what to do" because he was a leader.


Anatengeneza ulaji Kwa wapambe for 2025,na kuongeza mzigo Kwa walipa kodi
 
Ww taja za vichochoroni manake giants company in kenya zinajulikana mbona hata huku za vichochoroni zimejaa mfano nakupa kanda ya ziwa mwanza , kahama, bariadi, shinyanga hua wanauziwa maziwa na watu binafsi tena wanakuja kuwagongea mpaka majumbani wanapima kwa lita na ukiwahesabu hao wajasiriamali binafsi hata 5000 wanafika just imagine [emoji38][emoji38][emoji38]
Wee jama ukona shida ya kiakili bana, hakuna kampuni ndogo hapo
 
Yogurt kupata ni shida [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] ww unnawazimu wa kichwa na kumbe mpaka leo muna kasumba ya kudhani tanzania ni ile ya 90s nilidhani hamuna tena hiyo kasumba mwambie huyo aliekwambia akutaftie yogurt ya kenya tanzania na akipata anitag
Your yogurts are very bogus as a yoghurt fan , hamna varieties kama mkona varieties niwekee picha hapa si hizo ma asas tasteless hapo
 
Huu uzi ndio the most useless kwa JF yote. Mimi ni Mkenya na napendaga sana nyuzi za humu, lakini huu wa Dar vs Nrb huwa unanuidhi. Hauna maana. Unawapa wendawazimu kutoka nchi zote mbili platform ya kueneza chuki ya kijinga. Itakuwa bora admin wa huku aufunge. Delete permanently!
 
Huu uzi ndio the most useless kwa JF yote. Mimi ni Mkenya na napendaga sana nyuzi za humu, lakini huu wa Dar vs Nrb huwa unanuidhi. Hauna maana. Unawapa wendawazimu kutoka nchi zote mbili platform ya kueneza chuki ya kijinga. Itakuwa bora admin wa huku aufunge. Delete permanently!
Fatilia nyuzi zingine nyuzi zipo nyingi Tu JF

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Beautiful nakuru with greenery everywhere
IMG_140549_28223.jpg
IMG_140544_28223.jpg
IMG_140538_28223.jpg
IMG_140518_28223.jpg
IMG_140508_28223.jpg
IMG_140331_28223.jpg
IMG_140502_28223.jpg
IMG_140323_28223.jpg
IMG_140525_28223.jpg
IMG_140513_28223.jpg
IMG_140354_28223.jpg
IMG_140437_28223.jpg
IMG_140425_28223.jpg
IMG_140431_28223.jpg
IMG_140402_28223.jpg
IMG_140412_28223.jpg
 
Unless wamezuia Kwa Sasa maana nasema hivyo Mimi mwenyewe nilikuwa kwenye kazi hiyo kipindi Niko Dar na Arusha.

Mkoa niliko Kwa sasa ukiacha Asas hakuna kampuni zingine za kigeni tofauti na za hapa hapa Mkoani..
Kodi ya imported Milk haishikiki, Azam mwenyewe yalimshinda coz alikuwa ana import unga. Ukiona maziwa kwenye shelves supermarkets za bongo jua ni pure kabisa so hakuna foreign firm yenye ubavu wa kuleta maziwa alafu wacompete na locals. Hapa JPM alicheza safi sana, haiwezekani tuna mifugo namba mbili Afrika alafu maziwa tunaimport, ni upumbavu.
 
Tafuta supermarket yoyote unioneshe maziwa ya kutoka kenya ukiyapata uniambie nikulipie mm 😆😆😆😆

Dar fresh
Tanga fresh
Azam
Assas
Musoma diary
Farmers fresh
Tan diaries
West kilimanjaro
Engiteng
Maziwa mbeya

Etc hzo zote ni kampuni kubwa na ww unaonekana tanzania bado huijui 😆😆😆 tafuta soko la maziwa kenya ukilipata unitag mm eti unabana saut supermarket zote zimejaa maziwa ya kenya ww hata supermarket unazijua ikiwa unatokea sumbawanga vijijini 🤣🤣🤣🤣
Sio Mtanzania huyo. Hawaijui Tanzania wanayo iongekea.
 
Back
Top Bottom