ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,266
Shida ninayoiona ni watu wa takwimu Tz ni wazembe sn, huwa wanaweka takwimu ambazo kiuhalisia sio kweli, siku hizi watu wengi wanatumia mitungi ya gesi hata wauza chips wengi wao wameshaona ni hasara kupikia mkaa, kwanza mkaa wenyewe kuupata cku hz ni kama dawa za kulevya haupatikani hovyo, hiyo ni kwa huku mijini. Lakini cku hz hata vijijini wameanza kupikia kwa gesi mana kiukweli mtungi wa gesi ukinunua unakaa kwa mda mrefu sn hivyo una save pesa nyingi.Wauza chipsi wenyewe wanapikia Gesi na umeme. Huyo mwamba ni shamba boi
Hali ya Dodoma na nairobi ina tofauti gani? Nioneshe hali ya tatu city saivi 😂😂A very useless place to live
Asanteni wakenya 🤝🤝🤝😆😆 siku hzi hamuendi mombasa
Gas ni nafuu kuliko mkaa especially kama hauna family kubwa...unapika haraka alafu unyamwezi hakuna kuchafuka wala nnShida ninayoiona ni watu wa takwimu Tz ni wazembe sn, huwa wanaweka takwimu ambazo kiuhalisia sio kweli, siku hizi watu wengi wanatumia mitungi ya gesi hata wauza chips wengi wao wameshaona ni hasara kupikia mkaa, kwanza mkaa wenyewe kuupata cku hz ni kama dawa za kulevya haupatikani hovyo, hiyo ni kwa huku mijini. Lakini cku hz hata vijijini wameanza kupikia kwa gesi mana kiukweli mtungi wa gesi ukinunua unakaa kwa mda mrefu sn hivyo una save pesa nyingi.
Naona kwenye tweet watu wanauliza imeisha nini? Jibu Imeleta mbolea kwenda Congo. Hatua nzuri sana,pongezi kwa Serikali mita 300 si mchezo, zitaanza kuja tena na tena kubwa zaidi ya hii yenye mita 150.Lamu bado inaendelea kufuga ngamia na punda



Dodoma inawatia presha 😆😆😆😆Hali ya Dodoma na nairobi ina tofauti gani? Nioneshe hali ya tatu city saivi 😂😂
Lamu bado inaendelea kufuga ngamia na punda 😂😂😂
Kuna mjinga mmoja alisema SGR haitarudisha pesa, sasa jiulize meli yote hiyo mzigo wote unaenda DRC na bado huo ni mzigo mdogo tu katika shehena zake, tani 6900 ni trips 276 za malori biashara nzuri kwa haulers lakini SGR ikikamilika mzigo wote huo utaenda DRC kwa siku 1 na bado nafasi ya Tani 3100 inabakiNaona kwenye tweet watu wanauliza imeisha nini? Jibu Imeleta mbolea kwenda Congo. Hatua nzuri sana,pongezi kwa Serikali mita 300 si mchezo, zitaanza kuja tena na tena kubwa zaidi ya hii yenye mita 150.
Huku meli, kule ndege, huko SGR na Kusini MGR,Tanzania is untouchable![]()
Mm niliwaambia hapa wakaja juu wakanichukia nilisema lamu ni white elephant tena mchana kweupe na wanauchumi wao wote walitabiri hilo 😆😆 sasa wajiandae madeni ya mchina kaaah
Wah na mko nyuma,hapa Kenya zinapiga daily forever 😅France wamesema mpaka June kutakuwa na direct flights Dar ✈️ Paris
Hujui tofauti y waborana na wasomali lakiniunless niwe sijawaona wasomali ndio utanidanganya mm
https://www.kdb.go.ke/milk-producers-groups/Katoka kwenye visimbuzi kaingia kwenye maziwa sasana hana taarifa kua tanzania kuna kampuni nyingi za maziwa kuliko kenya hilo halijui na ajiulize kuna kampuni gani ya maziwa kenya inuza maziwa tanzania akutajie moja tu
Na hajui kaya maana yake familia na familia za kitanzania average ni 5 to 10 people so achukue visimbuzi tajwa hapo atafute average kwa watu wangap na jibu atalipata mbonaama kweli hesabu ni mwanaukome