Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ulishawahi kutumia Tanga fresh?usikute hua unaendesha mada zako kwa hisia sio uhalisia wa mambo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nimewahi ni Moja ya kampuni kubwa niliosahau pale kwenye list yangu but ngumu sana kukuta bidhaa za Tanga fresh Songea au hata Tabora..

Tunarudia kule kule kama ni vikampuni hapa Bongo vingi sana ila ni local.
Kwa experience yangu ya Supermarket bidhaa inayotoka haraka ya maziwa ni Azam Milk ,Brookside za Kunyaland ndio wanafuata hao wengine mwisho mwisho huko 😁😁
 
Nimewahi ni Moja ya kampuni kubwa niliosahau pale kwenye list yangu but ngumu sana kukuta bidhaa za Tanga fresh Songea au hata Tabora..

Tunarudia kule kule kama ni vikampuni hapa Bongo vingi sana ila ni local.
Kwa experience yangu ya Supermarket bidhaa inayotoka haraka ya maziwa ni Azam Milk ,Brookside za Kunyaland ndio wanafuata hao wengine mwisho mwisho huko
Sijawah kuyaona maziwa ya brookside

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Westlands
FqB7n_sWcAA75Xi
 
Kampuni nyingi ni ndogo ndogo tuu,kubwa ni kama Dar fresh,Azam diary ,Asas diary ila Kuna utitiri wa vikampuni..

Supermarkets nyingi za zimejaa maziwa ya kampuni za Wakunya Kwa sababu za kwetu hazina uwezo wa ku feed soko letu.
Tafuta supermarket yoyote unioneshe maziwa ya kutoka kenya ukiyapata uniambie nikulipie mm 😆😆😆😆

Dar fresh
Tanga fresh
Azam
Assas
Musoma diary
Farmers fresh
Tan diaries
West kilimanjaro
Engiteng
Maziwa mbeya

Etc hzo zote ni kampuni kubwa na ww unaonekana tanzania bado huijui 😆😆😆 tafuta soko la maziwa kenya ukilipata unitag mm eti unabana saut supermarket zote zimejaa maziwa ya kenya ww hata supermarket unazijua ikiwa unatokea sumbawanga vijijini 🤣🤣🤣🤣
 
Milk products kenya huwezani nazo ichogal huku si tanga fresh, hujawaii skia Daima, delamere, ilara, bio foods, jolly fresh, dairyland, lyons maid,cream bell,tuzo, fresha,kinangop dairy,eldoville, laki laki hujui kitu ni wivu na mdomo umejaza kam mswahili tu
Ww taja za vichochoroni manake giants company in kenya zinajulikana mbona hata huku za vichochoroni zimejaa mfano nakupa kanda ya ziwa mwanza , kahama, bariadi, shinyanga hua wanauziwa maziwa na watu binafsi tena wanakuja kuwagongea mpaka majumbani wanapima kwa lita na ukiwahesabu hao wajasiriamali binafsi hata 5000 wanafika just imagine 😆😆😆
 
Asante kwa kuwaambia ukweli, dar kwanza yoghurt kupata ni shida kabisa
Yogurt kupata ni shida 😆😆😆😆😆 ww unnawazimu wa kichwa na kumbe mpaka leo muna kasumba ya kudhani tanzania ni ile ya 90s nilidhani hamuna tena hiyo kasumba mwambie huyo aliekwambia akutaftie yogurt ya kenya tanzania na akipata anitag
 
Tafuta supermarket yoyote unioneshe maziwa ya kutoka kenya ukiyapata uniambie nikulipie mm 😆😆😆😆

Dar fresh
Tanga fresh
Azam
Assas
Musoma diary
Farmers fresh
Tan diaries
West kilimanjaro
Engiteng
Maziwa mbeya

Etc hzo zote ni kampuni kubwa na ww unaonekana tanzania bado huijui 😆😆😆 tafuta soko la maziwa kenya ukilipata unitag mm eti unabana saut supermarket zote zimejaa maziwa ya kenya ww hata supermarket unazijua ikiwa unatokea sumbawanga vijijini 🤣🤣🤣🤣
Unless wamezuia Kwa Sasa maana nasema hivyo Mimi mwenyewe nilikuwa kwenye kazi hiyo kipindi Niko Dar na Arusha.

Mkoa niliko Kwa sasa ukiacha Asas hakuna kampuni zingine za kigeni tofauti na za hapa hapa Mkoani..
 
Unless wamezuia Kwa Sasa maana nasema hivyo Mimi mwenyewe nilikuwa kwenye kazi hiyo kipindi Niko Dar na Arusha.

Mkoa niliko Kwa sasa ukiacha Asas hakuna kampuni zingine za kigeni tofauti na za hapa hapa Mkoani..
Sio wamezuia kwa sasa miaka 5 nyuma maziwa yote ya kenya yalitoweka kutokana na ushindani wa kampuni za kitanzania ww unaongea nn hapa ikiwa hata hujui dunia imefika wapi? Kampuni za maziwa tanzania zishakua nyingi kias kwamba hakuna nafas ya kampuni za kenya kuuza kwenye soko hili
 
First of all we dont have Ethiopians in this forum ongelea atcl wachana na we Ethiopia , secondly any time cancellation airline has never tasted profits not even once atleast KQ has for many years, 3rd you made 2.5b kwa tourism we made 2.1b hows that double? The time.you keep talking about still proves kenya is always ahead

When was the last time kq posted a profit?
 
Back
Top Bottom