chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,120
Itakua na destinations 2 Tanzania wakati kunyaland that's impossibleWah na mko nyuma,hapa Kenya zinapiga daily forever 😅
Itakua na destinations 2 Tanzania wakati kunyaland that's impossibleWah na mko nyuma,hapa Kenya zinapiga daily forever 😅
Ww unaniletea majina hata hayaeleweki au unafkiri mm kenya siijui au??😆😆😆😆 umesahau kama mm nawajua mpaka chupi zenu ??https://www.kdb.go.ke/milk-producers-groups/
Za kenya ndio hizo over 100 weka za tanzania tuone mr.clueless
Babu hesabu ya vitu kama hivi huwezi oanisha na population moja kwa moja. Nyumba moja ina wastani wa watu sita.
Baba,mama, watoto wa wili na dada wa kazi labda na bibi
Sasa kila mtu awe na mtungi wake wa gesi? Kila mtu awe na king'amuzi chake??
Tuzichanganue vizuri hizi katwiku. Ulitakiwa kutumia takwimu za sensa ya majumba!
Ww unataka kuniambia apart from giant companies in kenya kama brookside, KCC, na kampuni hzi kuna kampuni gani 😆😆 ww unaniletea kampuni za vichochoroni unaita kampuni try to be serioushttps://www.kdb.go.ke/milk-producers-groups/
Za kenya ndio hizo over 100 weka za tanzania tuone mr.clueless
Ww unataka kuniambia apart from giant companies in kenya kama brookside, KCC, na kampuni hzi kuna kampuni gani 😆😆 ww unaniletea kampuni za vichochoroni unaita kampuni try to be serious
Kaka mkaa wa 2000kwa siku haitoshi kabisa. Sasa piga hesabuShida ninayoiona ni watu wa takwimu Tz ni wazembe sn, huwa wanaweka takwimu ambazo kiuhalisia sio kweli, siku hizi watu wengi wanatumia mitungi ya gesi hata wauza chips wengi wao wameshaona ni hasara kupikia mkaa, kwanza mkaa wenyewe kuupata cku hz ni kama dawa za kulevya haupatikani hovyo, hiyo ni kwa huku mijini. Lakini cku hz hata vijijini wameanza kupikia kwa gesi mana kiukweli mtungi wa gesi ukinunua unakaa kwa mda mrefu sn hivyo una save pesa nyingi.
Utindio wa Ubongo.
A very useless place to live
Kampuni nyingi ni ndogo ndogo tuu,kubwa ni kama Dar fresh,Azam diary ,Asas diary ila Kuna utitiri wa vikampuni..Hapa Tanga kuna kampuni inaitwa Tanga fresh na Mara nmefika kuna kampuni inaitwa Mara dairy
WHY did the project stall?Kigamboni
View attachment 2532037
Kigamboni
View attachment 2532037
Endelea kuteseka Mr sukuma gangMiradi ya kingese ya jk na gange la walafi.