Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inategemea na mikataba ya nchi husika yaani bilateral agreement kati ya Uganda na Uk au EPA.

Any sane business man will utilize opportunities availed to him through those agreement so that he can take his products to the market.

Tanzania refused to sign in to EPA and we have graduated from poor country status to LMIC. Sasa yale mambo ya ku export everything but arms hakuna tena.
Kwani Uingereza ipo katika EPA?
 
Wewe kweli ni mlevi we unauzungumzia Tz ya miaka gani.?.. juzi kati tu Mwanangu alisimamia kazi ya sales ya hii taifa Gas ambapo mtungi mdogo uliokwisha jazwa uliuzwa 33000 .. mpaka mamikoa ya simiyu uko na walifanya vizuri .

Just to let you know Gesi inatumika karibu kila nyumba kwasasa .. unless wewe unaeishi interior uko porini
Mimi ninapokaa hata sehemu mkaa unauzwa sipajui.ishu ni kwamba hakuna sehemu unauzwa. Siku hizi kama unatumia mkaa hata kuupata kwake itakiwa ni shida kidogo.
 
Hizo takwimu hapo sio zangu ni za Wizara ya afya na nishati.

Refer siku wanazindua Mpango wa Nishati safi ndipo waliotoa hizo takwimu..

Kama Nchi yenye watu mil.62 lakini wenye visimbuzi ni chini ya mil.5 hapo wewe unaonaje? Ndio wataweza mtungi wa gas?
Babu hesabu ya vitu kama hivi huwezi oanisha na population moja kwa moja. Nyumba moja ina wastani wa watu sita.
Baba,mama, watoto wa wili na dada wa kazi labda na bibi

Sasa kila mtu awe na mtungi wake wa gesi? Kila mtu awe na king'amuzi chake??

Tuzichanganue vizuri hizi katwiku. Ulitakiwa kutumia takwimu za sensa ya majumba!
 
Babu hesabu ya vitu kama hivi huwezi oanisha na population moja kwa moja. Nyumba moja ina wastani wa watu sita.
Baba,mama, watoto wa wili na dada wa kazi labda na bibi

Sasa kila mtu awe na mtungi wake wa gesi? Kila mtu awe na king'amuzi chake??

Tuzichanganue vizuri hizi katwiku. Ulitakiwa kutumia takwimu za sensa ya majumba!
Hata za Majumba unaweza kuta jengo lina floor kadhaa au nyumba ina vyumba kibao na wapangaji rundo 😎
 
Babu hesabu ya vitu kama hivi huwezi oanisha na population moja kwa moja. Nyumba moja ina wastani wa watu sita.
Baba,mama, watoto wa wili na dada wa kazi labda na bibi

Sasa kila mtu awe na mtungi wake wa gesi? Kila mtu awe na king'amuzi chake??

Tuzichanganue vizuri hizi katwiku. Ulitakiwa kutumia takwimu za sensa ya majumba!
Idadi ya watu na visimbuzi inahusiana Kwa sababu Utajua idadi ya Kaya vs idadi ya visimbuzi.

Kwa wastani Kila kaya Ina watu 4.2 hivi ambako Kuna kaya kama mil.15 hivi ambapo Kati ya hizo kaya ni watu chini ya mil.4 ndio wanamiliki visimbuzi.

Mpaka hapo unapata unajua kiashiria Cha kiwango Cha umaskini.
 
Idadi ya watu na visimbuzi inahusiana Kwa sababu Utajua idadi ya Kaya vs idadi ya visimbuzi.

Kwa wastani Kila kaya Ina watu 4.2 hivi ambako Kuna kaya kama mil.15 hivi ambapo Kati ya hizo kaya ni watu chini ya mil.4 ndio wanamiliki visimbuzi.

Mpaka hapo unapata unajua kiashiria Cha kiwango Cha umaskini.
🤣🤣🤣 Wewe ni mlevi ... watu 4 .2 🤣🤣
 
Idadi ya watu na visimbuzi inahusiana Kwa sababu Utajua idadi ya Kaya vs idadi ya visimbuzi.

Kwa wastani Kila kaya Ina watu 4.2 hivi ambako Kuna kaya kama mil.15 hivi ambapo Kati ya hizo kaya ni watu chini ya mil.4 ndio wanamiliki visimbuzi.

Mpaka hapo unapata unajua kiashiria Cha kiwango Cha umaskini.
Hapo umetumia hesabu nzuri sasa, ila kwa upande wangu bado sioni kama ni umasikini. Mimi naona kama ni fursa!
 
Hapo umetumia hesabu nzuri sasa, ila kwa upande wangu bado sioni kama ni umasikini. Mimi naona kama ni fursa!
Ni fursa Kwa upande mmja ila sio fursa Kwa upande mwingine.
Kwa mantiko ya hali ya kimaisha ni umaskini uliotopea na ni wajibu wa Serikali kujua Hali halisi ya maisha ya watu wake..

Narudi kwenye hoja yangu kuu kwamba Rostam aliona fursa Kenya kwenye watu wenye purchasing power kubwa kuliko hapa Tanzania..

Biashara kama za visimbuzi na gas lazima zikimbilie Kenya Kwa sababu consuming/purchasing power yetu ni ndogo..

Huwezi kimbia ukweli hata kama unakukera 😁😁 .

Mfano wa kiashiria kingine Cha umaskini ni huu hapa chini 👇
20230208_132336.jpg
 
ChoiceVariable leta idadi ya visimbuzi vyote vinavyomilikiwa na watanzania mpaka kufikia mwisho wa mwaka 2022.. weka kampuni zote za visimbuzi Tz
Tukufinze jambo
Katoka kwenye visimbuzi kaingia kwenye maziwa sasa 😆😆😆😆 na hana taarifa kua tanzania kuna kampuni nyingi za maziwa kuliko kenya hilo halijui na ajiulize kuna kampuni gani ya maziwa kenya inuza maziwa tanzania akutajie moja tu

Na hajui kaya maana yake familia na familia za kitanzania average ni 5 to 10 people so achukue visimbuzi tajwa hapo atafute average kwa watu wangap na jibu atalipata mbona 😆😆😆😆 ama kweli hesabu ni mwanaukome
 
ChoiceVariable leta idadi ya visimbuzi vyote vinavyomilikiwa na watanzania mpaka kufikia mwisho wa mwaka 2022.. weka kampuni zote za visimbuzi Tz
Tukufinze jambo
Ukiacha mbali cable amabyo anadai hazizidi kaya laki 8 siku hzi watu wengi wanatumia apple tv na aina zingine kama hzo kuna visimbuzi vya canal vya ufaransa watu wengi sana wanatumia kwa ajili ya soka la uingireza na ulaya kwa ujumla hilo yeye halijui 😆😆😆😆 ndio maanaa unaambiwa siku zote ukiwa hujui jambo uliza kwanza
 
Ukiacha mbali cable amabyo anadai hazizidi kaya laki 8 siku hzi watu wengi wanatumia apple tv na aina zingine kama hzo kuna visimbuzi vya canal vya ufaransa watu wengi sana wanatumia kwa ajili ya soka la uingireza na ulaya kwa ujumla hilo yeye halijui 😆😆😆😆 ndio maanaa unaambiwa siku zote ukiwa hujui jambo uliza kwanza
Umeviona kwenye list ya TCRA? Manake Watumiaji ni wachache sana..
 
Back
Top Bottom