Hivi wewe una qualifications gani za kudecide mradi wenye economic impact na wenye hauna?If you got balls taja hapa miradi iliyopo kenya yenye economic impact tulinganishe.
Ukweli ni Taifa Gas haina "clout" kama kampuni nyingine za gesi hapa Tz.Dar kuna kampuni nyingi sana na ushindani ni mkubwa sana bro
Lake gas
Cam gas
O gas
Taifa gas
Oryx
Mihan gas
Etc na wote hao ni giants hakuna kampuni ndogo hapo





Mambo ya reli, ndege, meli, roads usimlingishie kabisa mtz tuko mbali, tunaona kama umepost uchafu tu hapa.
Orodha ya watanzania waliochukiwa zaidi na wakenya hapa JF 2022
1)Ichoboy01
2)The best007
3)Gezaulole
4)Magonjwa mtambuka
6)Simon
7)Coodip1
Note: Kigezo kikubwa walichotumia wakenya ni muonekano wa mtu, ie facial expression.
Joto la jiwe wamemtoa baada ya kugundua kwamba yeye ni "handsome"
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app











Umewasahau chongchung na samaboyOrodha ya watanzania waliochukiwa zaidi na wakenya hapa JF 2022
1)Ichoboy01
2)The best007
3)Gezaulole
4)Magonjwa mtambuka
6)Simon
7)Coodip1
Note: Kigezo kikubwa walichotumia wakenya ni muonekano wa mtu, ie facial expression.
Joto la jiwe wamemtoa baada ya kugundua kwamba yeye ni "handsome"
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app











Achana na hawa mbwa!Nyie Kunyaland mlivyowajinga mnadhani kuwa na gorofa nyingi ndio kuwa town nzuri,mnasahau kwamba kwenu Ardhi ni scarce so lazima muende vertical kinyume na Tanzania with plenty land we go horizontal..
More of Moro View attachment 2528107View attachment 2528108View attachment 2528109View attachment 2528110View attachment 2528111View attachment 2528112View attachment 2528113
Inawezekana hata wao ni "ma handsome"Umewasahau chongchung na samaboy![]()






Duuuuh number moko 🏃♂️🏃♂️🏃♂️🏃♂️kaaahOrodha ya watanzania waliochukiwa zaidi na wakenya hapa JF 2022
1)Ichoboy01
2)The best007
3)Gezaulole
4)Magonjwa mtambuka
6)Simon
7)Coodip1
Note: Kigezo kikubwa walichotumia wakenya ni muonekano wa mtu, ie facial expression.
Joto la jiwe wamemtoa baada ya kugundua kwamba yeye ni "handsome"
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Vitu wakenya hawapendi kusikia.
Tumeamua kumfata 'dem' ghetoni kwake kbsa tumalize kazi



😂😂 ingekuwa ni kampuni ya mzungu au mchina, tungekoma humu leo.. na vile ni largest in EA, tungeona thread kila mahali, ila kwakuwa ni ya Tanzania, wameufyata. Viva 🇹🇿, na bado 💉 haijakoleaSijaona wakunya wakifungua threads za kupongeza huo uwekezaji mkubwa….ooh nilisahau, wengi wa wakunya humu ni wafuasi wa Jaluo.![]()