Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nilistuka sana niliposikia eti kuna raia wamelalamika zile apartments pale Magomeni kwa 48mil for 2 bedroom appartments ni ghali, nilistuka sana kwa kweli kwenye centre kama hiyo where you can navigate anywhere in the city kama unamsukuma mlevi and yet you got everything around you, tena nyumba umekuwa guaranteed kuinunua as ulikuwa tenant wa muda mrefu, hili deko wabongo litatupeleka pabaya.

Serikali iwakomalie tu kuondoka baada ya muda huo wa miaka 5. Wewe tangu lini, mpangaji wako akitaka kuondoka, unamjengea nyumba anakaa miaka 5, halafu baadaye unaanza kum'bembeleza anunue hiyo nyumba kwa bei ya kutupwa.
 
Tanzania unstoppable
Screenshot_20230219-165612.png
 
Congratulations to Team Kenya for another world domination at the 2023 World Cross Country Championships from Australia….. 4 out 5 Team Gold Medals , with the other being Silver…that’s like winning 99% of the competition …. Also included many individual Golds ( crowned World Champions)…… We are that good… am curious …. Has Tanzania won anything at world stage?…. Serious question
 
Kenyans are so good in running that their kin were members representing other nations… teams from the Middle East had Kenyan names … even Team USA had Kenyan born athletes representing….. Running definitely has become another Kenyan export…
 
Back
Top Bottom