Hao wakulungwa wako wengi huku Tz kwenye sector ya hotels and tourism.Hii ni aibu, haiwezekani nchi production ya ndani inadoda sababu human capital yake cream yote iko nje inapambana kukuza nchi za watu, mtu anayejisifia huu upuuzi au uchumi wa kichuuzi namna hii namshangaa sana. Let’s Afrika fight this braindrain insteat of embrace it.
Wacha serikali ya Kenya iwasomeshe waje watufanyie kazi na kuimarisha tourism sector yetu wakati yao imedoda.
Bila kusahau Tz leads in remittances to Kenya.

