Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukiwaza kwa kushirikisha akili utajua wakenya wengi waliopo nje ya nchi ni housemaids gulf na sio professionals ila sababu hufikiri kwa kina unaendeshwa tu kimihemko huwezi kuelewa
Hii wivu yake men ni mpya bana so kwa akili zako timamu our biggest remittance na professionals wako saudia according to you?
 
Uvivu unaanzia hapa.

Screenshot_20230215-111347_Opera.jpg
 
Unfortunately majority of Kenyans think otherwise. Tanzanian music was good before Kenyans' support, ironically Kenyans changed it on their favor, that Bongo flavor got International recognition because of support from Kenyans, this is rediculous.
Umeulizwa tu vizuri since when did play kenyan mean ban tanzanian, try and be objective in your reasoning, your too sentimental
 
Walikuja na speed zote hapa sijui nye nye nye tunajenga BRT thika road yote 🤣🤣🤣 wakala cha ndimu sasa wamekuja na jina lingine kubwa eti railway city hahahaha ukiwauliza railway city gani wanakimbia wakirudi wanakuonesha bus 5 za electric ukiwauliza ndio nn mumefanya wanakwambia sisi ndio tumefanya bongo music kuonekana duniani 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii ni aibu, haiwezekani nchi production ya ndani inadoda sababu human capital yake cream yote iko nje inapambana kukuza nchi za watu. Nchi yenye natural resource za kutosha ni aibu kwenda kufanya kazi kwenye nchi zingine. Brain drain was desgined kwa nchi zisizo na natural resource ambazo zinawekeza kwenye kudevelop its human capital ili kutap opportunities kwenye nchi zenye much natural resources. Let’s Afrika fight this braindrain insteat of embrace it. Mtu anayejisifia huu upuuzi au uchumi wa kichuuzi namna hii namshangaa sana.
Wenye kufikiri hivi ni wachache, imagine specialists waliopo pale JKCI wote wawe abroad wanafanya kazi kwenye hospitals kubwa na kulipwa mishahara mikubwa, wangesababisha hasara kubwa kwenye sector ya afya Tanzania billions of money zingetumika kuwasafirisha wagonjwa na kugharamia matibabu pia tungetumia forex yetu kwa wingi huko sababu hawangeenda kutibiwa kwa Tsh, ila wenye uelewa mdogo haya yote hawawezi kuyaona
 
Back
Top Bottom