Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyinyi pamoja na DRC mnaongoza EAC kwa kuwa na wananchi wengi wenye extreme poverty kwa mujibu wa world bank. Nyinyi ni maskini kuliko waganda
Statistic says otherwise 😂😂😂

Fukara wa chakula mpaka kipato wanajulikana

Screenshot_1673188542622JPG.jpg
 
Umeulizwa tu vizuri since when did play kenyan mean ban tanzanian, try and be objective in your reasoning, your too sentimental
Unaposema ni lazima vyombo vya habari vitoe 75% Airtime kwa mziki wa Kenya, na kuacha 25% kwa mziki kutoka nje, katika nchi ambayo mziki wa Bongo unapata zaidi ya 60% Airtime hapo Kenya, hiyo maana yake ni "ban".

Ninyi mnajisifu kuwa mpo "Competitive in business", kwamba nguvu ya soko ndio iachwe ifanye KAZI, iweje mnaanza kutunga Sheria za kubana mziki wa Tanzania kuingia sokoni "freely?"
 
Mzee huko tulishatoka miaka mingi mno.
2020 to-date is just two years. Hizo miaka mingi sasa sijui ni gani.

Secondly, now that you have an issue with those figures, can you give me recent data showing Tanzania enjoys a balance of trade against Kenya. Isiwe tu ni maneno ya vijiweni
 
Magufuli hakua na roho chafu ila roho chafu mulikua nazo nyinyi miaka yote kujifanya munajua sana biashara kuliko wengine na alichokifanya magufuli ni kuifanya nchi iwe shindani kwa nchi zingine ili viwanda vijengwe na wananchi wapate ajira na serekali ikusanye kodi pia

Sasa mtu akihimiza ujenzi wa viwanda nchini mwake tayar amekua na roho mbaya au?? Na hata alipoifufua Air tanzania lengo ni kuleta ushindani wa kibiashara sio chuki wala roho mbaya

Na tatizo mlionalo nyinyi munadhani tanzania ni mhasimu wenu ila ukweli munaujua kua ni roho mbaya zenu msiotaka tanzania iendelee kiuchumi na kijamii na chuki zenu kwa magufuli ni vile alivoiamsha nchi na watu wake 😆😆😆😆😆

Munamuuzia nani finishing goods kitu gani leo munauza tanzania my friend 🤣🤣🤣🤣 na ni raw material gani nyinyi munanunua kutoka tanzani ?? Ikiwa mpaka mavazi munavaa ya tanzania is that raw material nimekuja juzi kenya wala miraa wote wanatumia azam energy is that raw material??
Wacha kuongea na feelings na mihemko bongolala. It won't change anything. Nimetaja Magufuli kutokana na yale aliyofanya kukwamisha traders na bidhaa za Kenya kuingia Tanzania. Hayo ya sijui ATCL na viwanda ni vijimaneno vya kujiliwaza coz hayana uhusiano wowote na bilateral trade kati ya Kenya na Tanzania which was my main point. Don't be driven by emotions in your arguments, you'll only look stupid!

Secondly, you can deny all you want but ukweli ni kwamba tunawauzia mostly finished products and data is there to support my argument. Wewe utashinda ukitaja Azam in every comment but you won't provide any data to support your arguments. You are just arguing for the sake of argument.

I'll give you one basic example of iron and steel (a finished product).
In 2021, Tanzania imported iron and steel products worth $25.97M from Kenya.


Wewe endelea kupiga domo
 
Hii wivu yake men ni mpya bana so kwa akili zako timamu our biggest remittance na professionals wako saudia according to you?
Kumbe hata hujui kwanini yale makotena Qatar after world cup waliamua wagawiwe wakenya? 😂😂😂 Unskilled labor waliochangia sio ya kupuuzwa
 
Hahaha, wewe vipi?, bado unazungumza mambo ya zamani kabla Magufuli hajafa?, Sisi tunazungumza kuanzia 2021 hadi Leo baada ya kuondoka Magufuli, Hali hivi Sasa tunawapelekesha Sana,.

By the way "is Rice a raw materials?", Mnatengeneza nini kutokana na Mchele?,

Sisi tunawauzia bidhaa muhimu zenye kuokoa maisha ya watu, bidhaa zetu zikikosekana uchumi wenu unayumba, au kunaweza kutokea "Civil unrest", ninyi mnatuletea sabuni
How will I start engaging a person who doesn't know that rice is a raw material? Unaona sasa mahali mnakwamilia? Na bado mnataka ushindani na Kenya, nchi ambayo raia wake wanajua rice is a raw material na inawezatumika kutengeneza vitu kadhaa?

Just in case you didn't know bongolala, rice is used in making rice vinegar, rice noodles, rice bread, rice milk and sake among other things. So next time you see any of those products in your supermarket shelves, know that there's a high chance imetoka Kenya na imetengenezwa na mchele mliyotuuzia. Sawa bongolala?
 
Back
Top Bottom