Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukute amemuomba tena kwa kumpigia goti yule bwana anayefanya kazi kwny ile benki ampigie picha pesa za watu aandike na jina la mkulungwa mzalendo ili kupoza machungu ya vitasa vya humu ndani
Ungesema ni wewe nimekuomba tu ujifurahishe kidogo bana
 
Kwenye export tumewapita tayari hawatakaa watufikie, ndio maana nasema Kenya ni paper economy

Screenshot_20230114-102543.png
 
Tuliwaambia kwamba ninyi wakenya ni washamba sio kwamba hatuwapendi, huo ndio ukweli, inawezekanaje katika karine hii ya kisasa mnakwenda kujenga reli ya 1800s?
Railway ya Kwanza duniani imejengwa 1825, wewe unaongelea railway ya 1800s. Kukosa maarifa ni ugonjwa kweli.🤣
 
Amekaa kimya
Hajui kwama Tz Exports more(Goods ans Services ) than Kenya
Na Bado Kenya wana import Zaidi labda 2x kuliko Tz
Hiyo ndio maana halisi ya uchumi kukua, yaani unaongeza mauzo na unapunguza kununua. Hapa ndio sababu Tanzania tunafanya miradi ya maendeleo yenye thamani kubwa kuliko nchi zote za EAC kwa pamoja
 
Alipogundua tumewaacha mbali akakimbia hakurudi tena na akalala kabisa japo sina hakika kama alipata usingizi
Wakikaa sawa mwaka huu tutawauzia Mbolea kutoka Dodoma ya kutosha Zaid ya 100mil usd .

Na ndo maana nataka Tz tuwekeze sana viwanda vya kuzalisha mbolea EA na Central Africa hawazalishi mbolea ya kutosha , Imports zinategemewa sana
 
Back
Top Bottom