Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mihemko? Alice na mihemko ni wewe unayeita ile treni yenu eti ni bullet train. As if you don't know what a bullet train is
Kwani wewe unajifanya hukuona tamko la serikali kuhusu bullet train au unajifanya chizi, Tz sio Kenya tukisema tumesema na lazima iwe hivyo, utake usitake bullet train ya kwanza EA lazima itokee Tz, ni kama reli ya kwanza ya umeme EA inatokea Tz, ni kama BRT ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama cable stayed bridge ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama three level interchange ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama bwawa kubwa la umeme EA linatokea Tz, ni kama sgr ndefu Africa inatokea Tz, so zoea tu lasivyo utakufa kabla ya siku zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukute amemuomba tena kwa kumpigia goti yule bwana anayefanya kazi kwny ile benki ampigie picha pesa za watu aandike na jina la mkulungwa mzalendo ili kupoza machungu ya vitasa vya humu ndani
Wale watanzania wenzako wanaopiga pesa picha na kutuma huku pia hufanya hivyo ama ni wakenya tu?
 
Kwani wewe unajifanya hukuona tamko la serikali kuhusu bullet train au unajifanya chizi, Tz sio Kenya tukisema tumesema na lazima iwe hivyo, utake usitake bullet train ya kwanza EA lazima itokee Tz, ni kama reli ya kwanza ya umeme EA inatokea Tz, ni kama BRT ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama cable stayed bridge ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama three level interchange ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama bwawa kubwa la umeme EA linatokea Tz, ni kama sgr ndefu Africa inatokea Tz, so zoea tu lasivyo utakufa kabla ya siku zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tamko LA hii serikali moja iliyosema na kurudia tena kwamba Magufuli anachapa kazi Ama kuna serikali nyingine?
 
Uchumi gani mumejenga bongolala? Hii inayotegemea imports kwa kiasi kikubwa ama kuna nyingine?
Tz sio Kenya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20230213-234608.jpg
Screenshot_20230213-234241.jpg
 
Hilo halina uhusiano wote na maendeleo/ ahadi za serikali, kwahiyo linaweza kuvumilika.

1)Laptop per child
2) Five modern stadia
3)Mradi wa Galana Kulalu
4)Trains za kisasa
5)Five water dams
6)Green field terminal
7)SGR to Malabar
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wametuzidi kwenye imports tumewazidi kwenye export na bado wanaongelea GDP [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Gari zao zote za kubeba abiria zinakaa hivyo, lkn wanatutengenezea bus kaliiii alafu wao wanaishi humo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji28]Lazma waende peponi
 
Kwani wewe unajifanya hukuona tamko la serikali kuhusu bullet train au unajifanya chizi, Tz sio Kenya tukisema tumesema na lazima iwe hivyo, utake usitake bullet train ya kwanza EA lazima itokee Tz, ni kama reli ya kwanza ya umeme EA inatokea Tz, ni kama BRT ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama cable stayed bridge ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama three level interchange ya kwanza EA inatokea Tz, ni kama bwawa kubwa la umeme EA linatokea Tz, ni kama sgr ndefu Africa inatokea Tz, so zoea tu lasivyo utakufa kabla ya siku zako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata cable cars za kwanza EA zinatokea Tanzania
 
Back
Top Bottom