Nimekwambia hvi kibera haiwezi kutoka kwenye orodha ya kua biggest slum in the world haiwezi na haitatoka 🤣🤣🤣🤣 na kwa mtu mwenye akili akiangalia hii picha ndio atajua uwepo wa binaadamu na nguruwe dunianiSasa mbona unapingana nami wakati mimi naishi Nairobi na wewe upo Tandale? Must you bring unnecessary arguments in everything? Hilo eneo lote lenye maghorofa ilikuwa na nyumba za mabanda. Si lazima ukubali coz it won't change anything. Utabaki tu kuwa mtanzania mjinga hata ukubali
Unakumbuka hzi video nilichukua kwa sababu yako 🤣🤣🤣🤣Sasa mbona unapingana nami wakati mimi naishi Nairobi na wewe upo Tandale? Must you bring unnecessary arguments in everything? Hilo eneo lote lenye maghorofa ilikuwa na nyumba za mabanda. Si lazima ukubali coz it won't change anything. Utabaki tu kuwa mtanzania mjinga hata ukubali
Sio Kweli NK inazidiwa GDP na Kenya.PPP Purchasing Power Parity. Nchi zote za Kijamaa au zenye tatizo na nchi za magharibi zimekuwa zikionyweshwa kuwa ni maskini sana. Mfano: Uingereza ina madeni kuliko ukubwa wa uchumi yake. na Russia ina uchumi unao produce surpluses, wenye hard-earned daily returns of 2.45 billion exports, wakati waingereza wanachapisha pesa kuendesha uchumi wao. Nani tajiri hapo.?
Uingereza ikifilisika hakuna anaesumbuka duniani, na imekwisha kufisika mara nyingi tuu na dunia inasonga. wakati Russia ikisinzia dunia inaingia kwenye inflationary state wewe unaelewa nini?
Sasa si bora nyumba inakua ya block na bati juu kuliko binaadamu anaishi kwenye nyumba ya tope 🤣🤣🤣🤣🤣 tena mjini kabisa
View attachment 2512805View attachment 2512806View attachment 2512807View attachment 2512808
After zooming ni jalala tu 🤣🤣🤣🤣 yani unatuletea magorofa ya udongo yanayodondoka kila leo hapaStop hiding behind the word 'block.' Nilikuambia hata Lucky Summer is considered a slum in Nairobi but nyumba ni apartments blocks. Way better than your uswazi sprawls that cover your entire city View attachment 2512835
Wacha kujiliwaza bongolala. Those are apartment blocks built in a very organized way hadi kuna nafasi ya barabara. You can't compare that place na zile dreamhouses zenu zilizojengwa bila mpangilio na bati zimeliwa na mchwa hadi zinavujaAfter zooming ni jalala tu 🤣🤣🤣🤣 yani unatuletea magorofa ya udongo yanayodondoka kila leo hapa
View attachment 2512842
Kuna cbd nyingine isipokua kariakoo? Si n bahari nextAsante kwa kukubali kwamba kariakoo ni cbd nyingine![]()
Kwanza ww kariakoo unaijua nani alikwambia kariakoo iko next to bahari 🤣🤣🤣🤣🤣Kuna cbd nyingine isipokua kariakoo? Si n bahari next
Asanti kwa kukubali cbd ya dar-ni-slum
Wewe ni wa kusamehewa tu, hujitambui.Kuna cbd nyingine isipokua kariakoo? Si n bahari next
Asanti kwa kukubali cbd ya dar-ni-slum
Nani kakwambia Kariakoo Iko next to bahari .?? 🤣🤣 Hujui dar kaa kwa kutuliaKuna cbd nyingine isipokua kariakoo? Si n bahari next
Asanti kwa kukubali cbd ya dar-ni-slum
Haha kudadekiWewe ni wa kusamehewa tu, hujitambui.
Itaendelea kushuka zaidi mana uchumi wao uko hovyo sn yn hovyo kweli kweli.
Wacha nikufundishe DAR .. eneo lilopo next to bahari ni hili hapa.. panaitwa Posta na ndio CBD hapa DAR 👇Kuna cbd nyingine isipokua kariakoo? Si n bahari next
Asanti kwa kukubali cbd ya dar-ni-slum