Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Reason why Kenya will not use BRT anytime soon
Screenshot_2023-02-11-08-44-08-58_0b2fce7a16bf2b728d6ffa28c8d60efb.jpg
 
Between CBD and Upper Hill stands a huge recreational park you can't find anywhere in Tanzania; Uhuru Park. Besides that, there's also a golf course (Railways Golf course). Niambie ni nini stands between Kariakoo and posta
Park gani ww majengo ni machache sana nairobi na hata eneo wanaloishi watu bado ni ndogo sana ndio maana unakuta over 70% wako slums huko 🤣🤣🤣 imagine politicians wanamiliki mpaka mapori hapo nairobi alaf unakuja kuongea nn ww
 
Park gani ww majengo ni machache sana nairobi na hata eneo wanaloishi watu bado ni ndogo sana ndio maana unakuta over 70% wako slums huko 🤣🤣🤣 imagine politicians wanamiliki mpaka mapori hapo nairobi alaf unakuja kuongea nn ww
Wewe ni wa kupuuzwa tu. You'll never grow up
 
Jana nilikua naangalia VOA nimeshang'aa kumbe south africa hawana umeme wa kutosha wanastruggle sana na umeme (blackout) ya kutosha. Yani ni tatizo kubwa

Then, Nigeria poa hawana petrol wakati wanaongoza kwa kuzalisha kwa Africa, yaani hadi wanapanga foleni petrol station

Conclusion, sisi waafrika tukiamia ulaya na wazungu wakija afrika baada ya miaka 10 tutaomba kuja tena

Selfishness inatuua waafrika yaani mataifa makubwa yana struggle na vitu kama hivyo vya msingi
 
Kuna tofauti kubwa katika undeshaji wa uchumi wa kenya na uchumi wa tanzania.


Uchumi wa Kenya unaendedhwa kwa front loading economy ( uchumi bandia), ni uchumi unao endeshwa kwa kuchapisha pesa na kidogo kinacho zalishwa na kuki -export kinatumika kama dhamana na kuservice madeni. Kenya haina uwezi wa kujiendesha kama nchi bila kukopa hata kidogo.


Thamani ya uchumi wao (mapato) ukifananisha na deni, wana kosa uwezo hata kulipa mishara ya wafanyakazi wao wa umma.

12 % uzalishaji na akiba - 112% ya uchumi wao wote deni na dhamana walizochukua.


Kenya ni nchi iliyo filisika kwa mizania ya Traditional standards za kiuchumi kama zilivyo Marekani/ Uingereza/Ufaransa/ na karibu nchi zote za ulaya magharibu kutoa nchi chache tuu kama Ujerumani.


Katika bara la ulaya ni nchi tatu ndizo zenye uchumi halisi Germany, Russia na Belarus. Zote zilizo baki zina chapisha pesa kuwawezesha kuendesha uchumi na shuguli za serikali zao.

Na kwa leo hii ni Russia pekee ndio nchi yenye kubaki na bakaa yani wanatumia pesa kwa mahitaji yao yote na pesa inabaki japo inatengeneza chuki na wivu mzito wa kiuchumi na wenzake wa Ulaya wanaochapisha pesa kuendesha chumi zao.


Muda mwingine nitajaribu kufafanua uchumi wa Tanzania ila napata shida sana kwa kutumia lugha yetu kwa maandiko ya kitaalamu, kukiwa na makosa tusameheane. .
 
Back
Top Bottom