Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ile siku niligundua NK inazidiwa GDP na Kenya ndiyo siku niliachana rasmi na ushuzi wa GDP.
Sio Kweli NK inazidiwa GDP na Kenya.PPP Purchasing Power Parity. Nchi zote za Kijamaa au zenye tatizo na nchi za magharibi zimekuwa zikionyweshwa kuwa ni maskini sana. Mfano: Uingereza ina madeni kuliko ukubwa wa uchumi yake. na Russia ina uchumi unao produce surpluses, wenye hard-earned daily returns of 2.45 billion exports, wakati waingereza wanachapisha pesa kuendesha uchumi wao. Nani tajiri hapo.?

Uingereza ikifilisika hakuna anaesumbuka duniani, na imekwisha kufisika mara nyingi tuu na dunia inasonga. wakati Russia ikisinzia dunia inaingia kwenye inflationary state wewe unaelewa nini?
 
Maneno kidogo picha nyingi
20230210_165629.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Sio Kweli NK inazidiwa GDP na Kenya.PPP Purchasing Power Parity. Nchi zote za Kijamaa au zenye tatizo na nchi za magharibi zimekuwa zikionyweshwa kuwa ni maskini sana. Mfano: Uingereza ina madeni kuliko ukubwa wa uchumi yake. na Russia ina uchumi unao produce surpluses, wenye hard-earned daily returns of 2.45 billion exports, wakati waingereza wanachapisha pesa kuendesha uchumi wao. Nani tajiri hapo.?

Uingereza ikifilisika hakuna anaesumbuka duniani, na imekwisha kufisika mara nyingi tuu na dunia inasonga. wakati Russia ikisinzia dunia inaingia kwenye inflationary state wewe unaelewa nini?
Hizo data zinaandaliwa na WB na washirika wake maadui wa NK
 
Nairobi huijui lakini unapiga kelele hapa kama kasuku. Sisi ndio tunaishi Nairobi wewe zoea kugoogle tu. Eti Baringo road 🤣🤣🤣🤣
FYI hio AMG GT 63 ndio hii hapa ikitoka Kwa hio showroom.


Huyo Chokoraa ni mjinga wa mwisho. It's good umempa za uso
 
So, huoni line apo inayotenganisha Kibera kwenye mabanda ya majolity na huko kwenye makazi ya wachache
Hapo ni Kibera bongolala. Wacha kubisha wakati sisi ni wenyeji wa Nairobi wakati wewe unapiga kelele ukiwa Gongo la mboto. Hiyo ni part of Kibera slum upgrading program iliyoanzishwa wakati wa Kibaki. Usiwe mtu wa kupinga kila kitu hata yale huelewi
 
We jamaa unajua hata maana ya frequency? Utapataje frequency kama gari halipo. Bure kabisa. Issue Maths, Science and Technology tuachieni sisi. Nyie vijana wadogo wadogo hebu ongeleeni issues za wasanii na history.
Kama watu sampuli yako ndio wasomi Tanzania then I give up on you guys. Umeshinda msomi wa Tanganyika! 😂😂
 
Hebu tizama hzo gorofa zilivojitenga na slums yani hata akili ya kuona hilo huna🤣🤣🤣🤣🤣
Hapo ni Kibera bongolala. It's part of the Kibera slum upgrading program that was started by the Kibaki administration. Hilo eneo lote ambako hayo maghorofa yamesimama ilikuwa na nyumba za mabanda
 
Hii ndio Tanzania,internet penetration ni kubwa mno,angalia hapo twetter,sisi ni wa tatu kujadiliwa leo.
Starlink_230210_164537_1.jpg
 
Dar-kuna-slum katikati ya cbd na imeandikwa hapo vizuri sana Kariakoo ni slum na picha imebandikwa. Nairobi slums hazikaribii cbd ata kidogo. Lakini naelewa watanzania hawajui kusoma wala kuelewa kingereza na umedhibitisha hilo


View attachment 2512730
Izo nyumba most of em zimeshauzwa na pamejengwa maghorofa, zamani kidogo kariakoo ilikua na nyumba nyingi tu za miti ,na pale jangwani nyumba zilivunjwa nyingi sana,zilizobaki zinanunuliwa na kuvunjwa zote kuna mradi wa bonde la mto msimbazi utaanza soon

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Dar-kuna-slum katikati ya cbd na imeandikwa hapo vizuri sana Kariakoo ni slum na picha imebandikwa. Nairobi slums hazikaribii cbd ata kidogo. Lakini naelewa watanzania hawajui kusoma wala kuelewa kingereza na umedhibitisha hilo


View attachment 2512730
Asante kwa kukubali kwamba kariakoo ni cbd nyingine
 
Kama watu sampuli yako ndio wasomi Tanzania then I give up on you guys. Umeshinda msomi wa Tanganyika! 😂😂
Wewe tena ndio mbumbumbu wa kwanza kabisa. Hebu tuambie ujuzi wako ni nini tuweze kukuuliza maswali mawili matatu.
Vilevile msikilize mtoto kutoka North Korea akimwanga Kingereza.

 
Propaganda na uhalisia fulani pia
Kama wanavyoonyesha bad sides za africa haimaanishi hakuna sehemu nzuri afrika lakini pia izo bad sides zipo na zinaongezeka in light speed

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ndio maana nikakwambia hakuna kitu wasionacho north korea ww fikiria tu kua wanavikwazo vya dunia nzima lakini bado wanadunda tu chukua hio point iwe muhimu kwanza kwako 🤣🤣🤣🤣
 
Hapo ni Kibera bongolala. It's part of the Kibera slum upgrading program that was started by the Kibaki administration. Hilo eneo lote ambako hayo maghorofa yamesimama ilikuwa na nyumba za mabanda
Nimekwambia tazama picha kwa umakini na utagundua kua kuna sehem wanaishi binaadamu na kuna sehem wanaishi watu kwenye maisha ya nguruwe
Screenshots_2023-02-09-15-01-02.png
 
Nimekwambia tazama picha kwa umakini na utagundua kua kuna sehem wanaishi binaadamu na kuna sehem wanaishi watu kwenye maisha ya nguruwe View attachment 2512803
Sasa mbona unapingana nami wakati mimi naishi Nairobi na wewe upo Tandale? Must you bring unnecessary arguments in everything? Hilo eneo lote lenye maghorofa ilikuwa na nyumba za mabanda. Si lazima ukubali coz it won't change anything. Utabaki tu kuwa mtanzania mjinga hata ukubali
 
Back
Top Bottom