Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dom kama Dom [emoji91][emoji91]
Screenshot_20230209-123628.jpg
Screenshot_20230209-123658.jpg
 
Unajua mzee unanipotezea muda bure tu. Sijajua unacholalamikia ni nini.
Hebu nieleze malamiko yako ni yapi kwenye calculation nilizoweka? Nipo tayari kutoa msaada bure kabisa.
Umeambiwa magari 10K ndio yaliojisajili mfumo wa ki electronic sasa wewe umegeneralize kua ndio magari pekee yaliopita hapo kwa miezi 7 Ilo ni Kosa la kwanza,Kosa la pili unapotaka kugawanya 10M trips kwa magari hayo machache huwezi kupata hesabu kamili.

Nashauri uache ujuaju usiona tina na kama vitu huelewi tulia

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Umeambiwa magari 10K ndio yaliojisajili mfumo wa ki electronic sasa wewe umegeneralize kua ndio magari pekee yaliopita hapo kwa miezi 7 Ilo ni Kosa la kwanza,Kosa la pili unapotaka kugawanya 10M trips kwa magari hayo machache huwezi kupata hesabu kamili.

Nashauri uache ujuaju usiona tina na kama vitu huelewi tulia

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ndio maana nimekwambia Hisabati zinakupiga chenga. Hebu fuatilia nilichoandika. Unakurupuka tu.

Kama hujui Math ni bora ukakaa kimya kuliko kuonesha upumbavu wako hapa. Math siyo matako kila mmoja anayo

Okay vyovyote vile. Trip 10,000,000 unaelewa kweli au unaongea tu?
Yaani 10,000,000 / (7x30) =
47,620 magari yanapita kwa siku
Ambayo ni sawa na
1,985 kwa saa.
1985÷ 60 = ambayo ni sawa na magari 34 kwa kila dakika.
Yaani kila baada ya sekunde mbili gari linapita.
How many cars are registered in Nairobi?
Hizo calculation based on 24/7. Yaani hata usiku wa manane magari yanapita kila baada ya sekunde mbili.

Acheni uongo.
 
Okay vyovyote vile. Trip 10,000,000 unaelewa kweli au unaongea tu?
Yaani 10,000,000 × (7x30) =
47,620 magari yanapita kwa siku
Ambayo ni sawa na
1,985 kwa saa.
1985÷ 60 = ambayo ni sawa na magari 34 kwa kila dakika.
Yaani kila baada ya sekunde mbili gari linapita.
How many cars are registered in Nairobi?

Acheni uongo.
Labda hii itakusaidia kuelewa hesabu zako[emoji23]
Screenshot_20230207-151046_Chrome.jpg
 
Ndio maana nimekwambia Hisabati zinakupiga chenga. Hebu fuatilia nilichoandika. Unakurupuka tu.

Kama hujui Math ni bora ukakaa kimya kuliko kuonesha upumbavu wako hapa. Math siyo matako kila mmoja anayo

Okay vyovyote vile. Trip 10,000,000 unaelewa kweli au unaongea tu?
Yaani 10,000,000 / (7x30) =
47,620 magari yanapita kwa siku
Ambayo ni sawa na
1,985 kwa saa.
1985÷ 60 = ambayo ni sawa na magari 34 kwa kila dakika.
Yaani kila baada ya sekunde mbili gari linapita.
How many cars are registered in Nairobi?
Hizo calculation based on 24/7. Yaani hata usiku wa manane magari yanapita kila baada ya sekunde mbili.

Acheni uongo.
Wewe ni Bloody fool,
10M÷(7)=wastani wa mwezi mmoja
Wastani wa mwezi ÷ 30days=wastani wa siku

Unajinasibu hapa kua unajua mathematics kumbe hata hesabu za kugawanya hujui

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ni Bloody fool,
10M÷(7)=wastani wa mwezi mmoja
Wastani wa mwezi ÷ 30days=wastani wa siku

Unajinasibu hapa kua unajua mathematics kumbe hata hesabu za kugawanya hujui

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Bado hesabu inautata mkubwa sana na kunaonekana kuna udanganyifu mkubwa ili kutuliza munkar za wakenya na isionekane kama ni moja ya miradi ya ovyo kenya🤣🤣
 
Wewe ni Bloody fool,
10M÷(7)=wastani wa mwezi mmoja
Wastani wa mwezi ÷ 30days=wastani wa siku

Unajinasibu hapa kua unajua mathematics kumbe hata hesabu za kugawanya hujui

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ndio maana nimekwambia hujui Math mdogo wangu.
Unajiaibisha hapa. Sasa ulichokiandika tofauti yake na nilichoweka ni nini?

10,000,000/7 = B
B/30 = C
So: C = 10,000,000/ (7x30)
Mbona rahisi tu mwanangu
Kwanini uwe na mzunguko mkubwa kama mtoto wa darasa la kwanza?
 
Back
Top Bottom